Watanzania Tuamke Kufuga Nyuki ni Biashara

epictanzania

Member
Mar 11, 2006
21
9
Siku nyingi nilipotea nilikuwa shamba narafiki zangu Nyuki. Badala ya kukaa mjini nashauri wasomi tuanze kufikiria jinsi ya kuwekeza katika nyuki. Kuliko kuwa busy mjini na kinywaji ebu tuanze kuangalia namna ya kuzalizalisha asali.Ushauri ni bure maana ASALI ndo bidhaa pekee na maziwa ambayo MUNGU aliahidi watu wake.

Wabongo au tunasubiri Wachina waje waanze kufuga nyuki na sisi tuanze kulalamikia ujio wao. Wakati ni huu ASALI ni mali fikiria tani moja ya Asali ni pesa ya kibongo Miliion 3. Akuna kununua dawa wala kulisha nyuki, hakuna traffic wala nimechoka nyuki mtindo mmoja anafanya kazi kwa ajili yako.

Wenzangu mnaonaje baada ya kupotea nimegundua hilo baada ya miezi 4 anaye taka asali aje kwanngu ninayo tayari Je wewe vipi bado wataka kukaa mjini?
 
Siku nyingi nilipotea nilikuwa shamba narafiki zangu Nyuki. Badala ya kukaa mjini nashauri wasomi tuanze kufikiria jinsi ya kuwekeza katika nyuki. Kuliko kuwa busy mjini na kinywaji ebu tuanze kuangalia namna ya kuzalizalisha asali.Ushauri ni bure maana ASALI ndo bidhaa pekee na maziwa ambayo MUNGU aliahidi watu wake.

Wabongo au tunasubiri Wachina waje waanze kufuga nyuki na sisi tuanze kulalamikia ujio wao. Wakati ni huu ASALI ni mali fikiria tani moja ya Asali ni pesa ya kibongo Miliion 3. Akuna kununua dawa wala kulisha nyuki, hakuna traffic wala nimechoka nyuki mtindo mmoja anafanya kazi kwa ajili yako.

Wenzangu mnaonaje baada ya kupotea nimegundua hilo baada ya miezi 4 anaye taka asali aje kwanngu ninayo tayari Je wewe vipi bado wataka kukaa mjini?

wazo zuri, unahitaji kuwekeza kiasi gani ili kupata tani moja ya asali?, mfano ni mizinga mingapi, na inachukua mda gani, na maeneo gani yanayofaa, na yanapatikanaje, na unahitaji watu wangapi wa kulinda/kutunza kwa tani
 
Siku nyingi nilipotea nilikuwa shamba narafiki zangu Nyuki. Badala ya kukaa mjini nashauri wasomi tuanze kufikiria jinsi ya kuwekeza katika nyuki. Kuliko kuwa busy mjini na kinywaji ebu tuanze kuangalia namna ya kuzalizalisha asali.Ushauri ni bure maana ASALI ndo bidhaa pekee na maziwa ambayo MUNGU aliahidi watu wake.

Wabongo au tunasubiri Wachina waje waanze kufuga nyuki na sisi tuanze kulalamikia ujio wao. Wakati ni huu ASALI ni mali fikiria tani moja ya Asali ni pesa ya kibongo Miliion 3. Akuna kununua dawa wala kulisha nyuki, hakuna traffic wala nimechoka nyuki mtindo mmoja anafanya kazi kwa ajili yako.

Wenzangu mnaonaje baada ya kupotea nimegundua hilo baada ya miezi 4 anaye taka asali aje kwanngu ninayo tayari Je wewe vipi bado wataka kukaa mjini?
Tunaotaka Asali tupo lakini usitutilie na Sukari ukachanganya naukasema hiyo ndio Asali original
 
Tunaotaka Asali tupo lakini usitutilie na Sukari ukachanganya naukasema hiyo ndio Asali original
Tuko makini vibaya sana siku hizi, hatudanganyiki, hakiweka sukari lazima akakae mahala bila dhamana
 
Siku nyingi nilipotea nilikuwa shamba narafiki zangu Nyuki. Badala ya kukaa mjini nashauri wasomi tuanze kufikiria jinsi ya kuwekeza katika nyuki. Kuliko kuwa busy mjini na kinywaji ebu tuanze kuangalia namna ya kuzalizalisha asali.Ushauri ni bure maana ASALI ndo bidhaa pekee na maziwa ambayo MUNGU aliahidi watu wake.

Wabongo au tunasubiri Wachina waje waanze kufuga nyuki na sisi tuanze kulalamikia ujio wao. Wakati ni huu ASALI ni mali fikiria tani moja ya Asali ni pesa ya kibongo Miliion 3. Akuna kununua dawa wala kulisha nyuki, hakuna traffic wala nimechoka nyuki mtindo mmoja anafanya kazi kwa ajili yako.

Wenzangu mnaonaje baada ya kupotea nimegundua hilo baada ya miezi 4 anaye taka asali aje kwanngu ninayo tayari Je wewe vipi bado wataka kukaa mjini?
Mimi ni asali kama tani 5. Naomba tuwasiliane ili tukamate hili soko. At 3m/- a tone, japo ni kidogo lakini I think I can accept provided hakuna gharama nyingine. Contact zangu :click kwenye jina langu; au kamakabuzi@yahoo.com
 
Siku nyingi nilipotea nilikuwa shamba narafiki zangu Nyuki. Badala ya kukaa mjini nashauri wasomi tuanze kufikiria jinsi ya kuwekeza katika nyuki. Kuliko kuwa busy mjini na kinywaji ebu tuanze kuangalia namna ya kuzalizalisha asali.Ushauri ni bure maana ASALI ndo bidhaa pekee na maziwa ambayo MUNGU aliahidi watu wake.

Wabongo au tunasubiri Wachina waje waanze kufuga nyuki na sisi tuanze kulalamikia ujio wao. Wakati ni huu ASALI ni mali fikiria tani moja ya Asali ni pesa ya kibongo Miliion 3. Akuna kununua dawa wala kulisha nyuki, hakuna traffic wala nimechoka nyuki mtindo mmoja anafanya kazi kwa ajili yako.

Wenzangu mnaonaje baada ya kupotea nimegundua hilo baada ya miezi 4 anaye taka asali aje kwanngu ninayo tayari Je wewe vipi bado wataka kukaa mjini?

Heshima mbele epictanzania,

Nimelipenda wazo lako zuri sana.
Tafadhali naomba darasa la uhakika kuhusu ufugaji wa nyuki.

[1] Eneo zuri kwaajili ufugaji wa nyuki.

[2] Vifaa gani muhimu vitakavyohitajika eg mizinga na vifaa vya kuvuna asali.

[3] Soko la uhakika liko wapi eg ndani au nje ya nchi.

[4] Athari zitokanazo na ufugaji wa nyuki eg mazingira na aina ya nyuki ambao wanaweza hata kuua.






[4]

[3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom