we mwenyewe inaonekana umvivu balaa,umeacha kazi upo huku unapiga umbeaKuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] keli TZ kibokowatanzania tumekubuhu kwa uvivu hilo halina ubishi. Nasubiria mradi wa Bomba la mafuta (Hoima-Uganda to Tanga port) watajaa wachina, wahindi na wakenya, watanzania wengi tutabaki kuwa Mama Ntilie na Wezi wa vipisi vya mabomba. ptuuu!
Ni kweli Wahindi wanatusua hapa hapa sisi tumekalia kuvaa kobazi kusuburia misaada ya tende na kitimoto toka ughaibuniWorld's Majungu Tournament Champions - Watanzania weusi.
Walioko nje ya TZ ni sample ndogo sana mkuu.Haitoshi kabisa ku-conclude kwamba WaTZ sio wavivu.Mimi nakubali waTZ ni wavivu, hasa vijana wetu wa 4G.Watanzania sio wavivu sema fursa nyingi zina password watu wengi hawapendi wenzao wawe na mafanikio..ndio maana ni rahisi kwa mgeni kupiga pesa huku ninyi wenyewe mkipigana vikumbo...mbona huko nje Watz ndio wanapiga sana kazi mkuu
Tena viongozi wa dini nao wametumia mwanya wa uvivu kujitajirisha. Kwa mwamvuli wa kuombeana miujizaTena ni wavivu hata wa kufikiri. Mtu anakuambia mungu yupo. Bila ya kuhoji na kuuliza sababu, unaanza kutangaza uwepo wake
Kila kijana anatamani awe na mafanikio lakini kutwa anashinda kijiweni kushabikia mpira wa ulayaWalioko nje ya TZ ni sample ndogo sana mkuu.Haitoshi kabisa ku-conclude kwamba WaTZ sio wavivu.Mimi nakubali waTZ ni wavivu, hasa vijana wetu wa 4G.
vijana tunachat 24/7 hakuna la maana hata huko kwenye kuchatHata mm naumia kichwa kuwaambia vijana wenzangu. Wakeup mtanzania many nia..
Ujinga mbaya sana ati vijana mnachati endeleeni upuuzi wewe kuwa kisemeo cha wengine utafiti wa kibepari namna gani D's aaaaaavijana tunachat 24/7 hakuna la maana hata huko kwenye kuchat
Acha ujinga wewe usiandike kufurahisha watuSiamini na sitarajii kuamini. Kuna sababu nyingi sana za msingi zinazofanya nisiamini uwepo wake
Welcome to Tanzania our comrades ChineseBora wachina waje watuletee teknolojia pia waoe dada zetu labda tutachangamka