PostGE2025 Watanzania Naombeni tuuamini huu uongozi mpya wapo serious watatufikisha nchi ya ahadi

PostGE2025 Watanzania Naombeni tuuamini huu uongozi mpya wapo serious watatufikisha nchi ya ahadi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,119
Reaction score
1,425
Nimekaa nikatafakari nikaangalia Uwongozi huu mama Samia utatupeleka nchi ya ahadi wako serious hawaigizi kabisa pleas please Dec 9 tusiandamane tumpe mama mda nina Imani naye kubwa sana.

Yaliyotokea ni mabaya sana ila Ameshajirekesha maana ndo mara yake ya kwanza so hakujua namna nzuri ya kukabiliana na jambo hilo zito.
 
si maandamano ya amani. aweke jeshi kulinda waandamanaji. siku itapita. hapo atakuwa kajirekebisha
 
Nimekaa nikatafakari nikaangalia Uwongozi huu mama Samia utatupeleka nchi ya ahadi wako serious hawaigizi kabisa pleas please Dec 9 tusiandamane tumpe mama mda nina Imani naye kubwa sana.

Yaliyotokea na mabaya sana ila Ameshajirekesha maana ndo mara yake ya kwanza so hakujua namna nzuri ya kukabiliana na jambo hilo zito
😂😂😂😂😂😂😂 kwan huyu si alishaongoza miaka 4
 
Nimekaa nikatafakari nikaangalia Uwongozi huu mama Samia utatupeleka nchi ya ahadi wako serious hawaigizi kabisa pleas please Dec 9 tusiandamane tumpe mama mda nina Imani naye kubwa sana.

Yaliyotokea na mabaya sana ila Ameshajirekesha maana ndo mara yake ya kwanza so hakujua namna nzuri ya kukabiliana na jambo hilo zito.
Unakatwa na Mandingo. Tutolee upumbavu wako hapa.
 
Nimekaa nikatafakari nikaangalia Uwongozi huu mama Samia utatupeleka nchi ya ahadi wako serious hawaigizi kabisa pleas please Dec 9 tusiandamane tumpe mama mda nina Imani naye kubwa sana.

Yaliyotokea ni mabaya sana ila Ameshajirekesha maana ndo mara yake ya kwanza so hakujua namna nzuri ya kukabiliana na jambo hilo zito.
Ule wa hoteli iliyojaa vyakula vya aina zote na wateja wake wanafia hotelini hapo kwa kukosa chakula!
 
Nimekaa nikatafakari nikaangalia Uwongozi huu mama Samia utatupeleka nchi ya ahadi wako serious hawaigizi kabisa pleas please Dec 9 tusiandamane tumpe mama mda nina Imani naye kubwa sana.

Yaliyotokea ni mabaya sana ila Ameshajirekesha maana ndo mara yake ya kwanza so hakujua namna nzuri ya kukabiliana na jambo hilo zito.
Member since 2015 lakini bado ina one kana hujitambui
🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom