Watanzania Na umarekani

Watanzania Na umarekani

gesselle

Senior Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
171
Reaction score
51
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa
 
watu wanatengeneza pesa wewee, neo-liberal on the way
 
Kwani wanasheherekea nini, na kunausahihi wowote kwamba hamna nchi nyingine wanaoitambua hiyo sherehe?
 
Ndiyo zetu, bado tu tumeacha ndoa za jinsia moja na zenyewe soon tutaanza kuiga. Halafu tukiitwa manyani tunakasirika wakati tabia kuu ya nyani ni kuigiliza kila jambo analoona.
 
wivu tu kila mtu anayo haki ya kusherekea sikukuu yoyote ile. mi ni mkristo lakin nasherekea ata Eid Mubarak.
Uwa nasherekea chinese new year sababu na rafik wachina nasherekea ata Ethiopia new year na marafik.

wala hakuna mtu wa kunichagulia sikukuu zip nisherekee
 
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa

You can't stop the reign.

Nenda Japan huko uone nchi ya ma Buddhist na ma Shinto wanavyoshadadia Christmas kuliko nchi nyingine za Kikristo. Na hiyo sikukuu ya kidini.

Maisha mafupi, Al-Qaeda wanaweza kukulipua Westgate style any minute, ngoma nje nje, ajira hakuna, matumaini hakuna, matetemeko ya ardhi na maafa ya nuclear si ajabu, watu wanatumia kila nafasi kusheherekea.

Kama vipi susia na internet utengeneze yako ya vibatari.

Hata hii internet unayotumia ni kugeza Wamarekani, wao ndio walioianzisha.

Kuna Wamarekani wengine hawafagilii hiyo Thanksgiving vilevile. Malcolm said they did not land on Plymouth Rock, Plymouth Rock landed on them.

Mtu anaanza kes kukuuliza "do you celebrate thanksgiving?", ukimwambia "yes" ndiyo anapata licence ya kusrma "Happy Thanksgiving". For all they know one could be a radical Muslim out of Philly, embracing separatist neo Nation of Islam doctrines and very American.

Do you, and let others do them.

Hata wakitaka kusheherekea Fourth of July instead of Ninth of December kivyao.

Labda wanawezeshwa "kwa msaada wa watu wa Marekani", utajuaje?

Utamlazimishaje mtu mwingine aishi unavyotaka wewe?
 
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa

oooooooooooo!:tonguez::tonguez:

Wamekuzodoajeee:biggrin1:

:A S 103:
 
Miafrika ni mijitu mijinga mijinga tu. Ni mijitu isiyojielewa. Ni mijitu yenye kufuata mikumbo. Ni mijitu isiyo na ubunifu.

Ni mijitu isiyojithamini na kutothamini tamaduni zao. Ni mijitu yenye kushobokea sana mambo na vitu vya wengine. Ni mijitu duni.

Ni mijitu ya ajabu ajabu - kwa mfano - mimi nimeshawahi kukutana na Wamarekani weusi ambao wanashukuru mababu zao kuchukuliwa utumwa huko Marekani na hivyo kuwezesha wao kuzaliwa Marekani ambako ni bora zaidi kuliko kuzaliwa Afrika.

Miafrika yenyewe kwa yenyewe huchekana eti flani hajui Kiingereza, au hudharauliana kwa kusema flani ana mambo ya Kiswahili.

Miafrika humwona mtu anayejua Kiingereza kama ni mtu bora zaidi, aliyestaarabika, na mwenye akili sana.

Hivyo usishangae kuona Miafrika ikisherehekea sikukuu ya Thanksgiving. Hakuna tena linalonishangaza kuhusu Miafrika. Hata siku nikisikia moja ya nchi inapiga Star Spangled Banner kama wimbo wa taifa sitashangaa.

Kwa kifupi, Miafrika Ndivyo Tulivyo.
 
Wapwashe haooooo wapwashike....ndio maana tunaiga mpaka mambo ya kipuuuuzi kabisa mengine hata maana yake hatujui
 
Malaysia ni nchi ya kiislam lakin msimu huu wa christmas shopping mall uwa zinapambwa mwezi mmoja kabla na wanaitangaza sana.

biashara na utalii zinashamiri sana yote kusherekea sikukuu na christmas inasherekewa zaidi kuliko Eid.

Achen watu wale bata, washerekee sikukuu yoyote wanayo ona sahihi kwao.

Nashauri Tanzania washerekee Thanksgiving kitaifa
 
Malaysia ni nchi ya kiislam lakin msimu huu wa christmas shopping mall uwa zinapambwa mwezi mmoja kabla na wanaitangaza sana.

biashara na utalii zinashamiri sana yote kusherekea sikukuu na christmas inasherekewa zaidi kuliko Eid.

Achen watu wale bata, washerekee sikukuu yoyote wanayo ona sahihi kwao.

Nashauri Tanzania washerekee Thanksgiving kitaifa

Unalinganisha Krismasi na Thanksgiving? Wapi na wapi bana....
 
Miafrika ni mijitu mijinga mijinga tu. Ni mijitu isiyojielewa. Ni mijitu yenye kufuata mikumbo. Ni mijitu isiyo na ubunifu.

Ni mijitu isiyojithamini na kutothamini tamaduni zao. Ni mijitu yenye kushobokea sana mambo na vitu vya wengine. Ni mijitu duni.

Ni mijitu ya ajabu ajabu - kwa mfano - mimi nimeshawahi kukutana na Wamarekani weusi ambao wanashukuru mababu zao kuchukuliwa utumwa huko Marekani na hivyo kuwezesha wao kuzaliwa Marekani ambako ni bora zaidi kuliko kuzaliwa Afrika.

Miafrika yenyewe kwa yenyewe huchekana eti flani hajui Kiingereza, au hudharauliana kwa kusema flani ana mambo ya Kiswahili.

Miafrika humwona mtu anayejua Kiingereza kama ni mtu bora zaidi, aliyestaarabika, na mwenye akili sana.

Hivyo usishangae kuona Miafrika ikisherehekea sikukuu ya Thanksgiving. Hakuna tena linalonishangaza kuhusu Miafrika. Hata siku nikisikia moja ya nchi inapiga Star Spangled Banner kama wimbo wa taifa sitashangaa.

Kwa kifupi, Miafrika Ndivyo Tulivyo.

Pole sana, yaani unavyojidharau hadi huwa nakuonea huruma, a "beyond perfect negative self concept individual"!
 
Back
Top Bottom