Watanzania muishio Paris, Ufaransa….

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,988
Reaction score
142,400
Sijui hizi habari zina ukweli kiasi gani ila nimeona kuna watu wanasema Samia kaenda au anaenda huko Paris.

Kama ni kweli, jipangeni ‘mumkaribishe’ kwa namna ambayo hatoisahau.

Msiogope. Huko hao watu wake hawana cha kuwafanya.

Mshikieni mabango. Mkiweza chukueni hata vipaza sauti.

Mpingeni kwa namna yoyote ile mtakayoweza.

Msimwache aje aondoke bila kumwambia ukweli.



Huyo asiachwe hata kidogo.

 
Halafu, kwani ufaransa sio ulaya?!!😳😳😳

Si mmekuwa mkikesha humu kuaminisha kuwa Samia hatakiwi ulaya?🤣🤣🤣🤣 Leo mnakuja wenyewe tena mnasema anaendelea ulaya. Mabaga kweli nyie.
 
Kazi ya kushauri tu ndiyo kukondeana hivi??!!
 
Mtaishia kulishana ujinga mpk mkishtuka 2030 hiyo hamjajiandaq kwa uchaguzi
 
Haiwezekani aende Ulaya. Huku mlishatuaminisha atakamatwa. Unless mtuambie huko nyuma mliwadanganya wafuasi wenu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…