Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 22,375
- 45,016
Hijab ni kwenu mliosilim. Waislam wenyewe og hawavai hijab. Hapa chini kuna picha ya Mfalme wa Jordan ambaye ana nasaba ya damu na mtume. Mkewe havai hijabSifa kubwa ya mwanamke muislam ni hijab. Jee anavaa?
Unamuona Mohamed Bin Salman ambaye ni mwana mfalme wa Saudi Arabia. Umeiona hijab ya mkewe😂😂