Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Mko nyie wazaramo
Kwan wazaramo ndo waislamu pekee?

Huna hoja kakojoe ukalele, makafiri weny pesa ni hawa walioajiriwa ambao wanavibiashara vya hapa na pale, sasa jiulize katka watanzania milion 60+ walioajiriwa hawafik asilimia 1 ya watu wote

Biashara kubwa zote ni kobaz
 
Mange naye katumwa na kanisa? Natamani hii nchi igawanywe mpewe yenu na manaswara wapewe yao tuwatenge kwa ukuta kama ule wa Israel vs Palestina, then baada ya miaka 5 tuangalie nani atakuwa anataka kuhamia kwa mwenzake.
Mbona hujataka kuhamia zambia ,malawi,uganda na zimbabwe ambako manaswala wenzio wamejazana?
Au nyinyi manaswara wa Tz mna tofauti gani na mananswara wa nchi za chini mwa jangwa la sahara na Amerka ya kusini ambao wananuka umasikini?
 
Hijab ni kwenu mliosilim. Waislam wenyewe og hawavai hijab. Hapa chini kuna picha ya Mfalme wa Jordan ambaye ana nasaba ya damu na mtume. Mkewe havai hijab

View attachment 3600399

View attachment 3600400

Unamuona Mohamed Bin Salman ambaye ni mwana mfalme wa Saudi Arabia. Umeiona hijab ya mkewe😂😂
Uislam si asili ya mtu,wala sio sehemu anayo toka,wala sio cheo alicho nacho bali uislam ni kufuata miongozi ya Qran nq suna za mtume.
 
Ndiyo hivyo. Na ndiyo maana vyombo vya usalama viamua kumuua Sheikh Sharif Majini
Samahani, ni maneno magumu sana haya kuyarudiarudia humu; lakini kwani waTanzania kweli hawakumbuki baadhi ya masheikh walivyowaonya vijana wa kiislam wasishiriki katika swala hilo?

Ushahidi wa wazi upo; na hata ule msisitizo wa AMANI ulioshikiliwa na viongozi wa BAKWATA ni ushahidi unaojitosheleza kabisa juu ya imani hiyo kuwa upande wa waovu.

Kamwe hatuwezi kusema ni waislam wote; lakini hao ambao hawakupenda hayo yaliyotokea ni wachache sana wamejitokeza na kutamka bayana.
 
Uislam si asili ya mtu,wala sio sehemu anayo toka,wala sio cheo alicho nacho bali uislam ni kufuata miongozi ya Qran nq suna za mtume.
Swali ni wangapi wanaofuata hayo na kujitambulisha wao ni wa imani hiyo.
Uislam hauwezi kuwepo bila ya wafuasi, ambao wanayo madhaifu yote kama binaadam.
 
Back
Top Bottom