Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Mnateteaga ujinga wa huyo mzee!
Mzee yupi Mwalimu Julius Nyerere unasema mjinga daah basi una shida sehemu sio bure aisee..
Nyerere...
Kaacha Tazara..
Mgodi wa kiwira ukiwa vizuri
Viwanda vya nguo..
General tire wahuni wamepeleka mitambo Kenya hapo Yana..
Madini alisema tuyaache hayaozi wakisoma watakuja kuchimba wenyewe sasa hivi yanagawiwa bure hakuna hata faida ya kuwa na madini..
Alitengeneza mazingira ya watu kutokubaguana kwa udini wao au makabila yao wengi walitumia Kiswahili kwa kiwango kikubwa alifauru..
Kwa kipindi hicho kama alifanya haya na kuyasimamia nampa pomgezi sana..
 
Mzee yupi Mwalimu Julius Nyerere unasema mjinga daah basi una shida sehemu sio bure aisee..
Nyerere...
Kaacha Tazara..
Mgodi wa kiwira ukiwa vizuri
Viwanda vya nguo..
General tire wahuni wamepeleka mitambo Kenya hapo Yana..
Madini alisema tuyaache hayaozi wakisoma watakuja kuchimba wenyewe sasa hivi yanagawiwa bure hakuna hata faida ya kuwa na madini..
Alitengeneza mazingira ya watu kutokubaguana kwa udini wao au makabila yao wengi walitumia Kiswahili kwa kiwango kikubwa alifauru..
Kwa kipindi hicho kama alifanya haya na kuyasimamia nampa pomgezi sana..
We unafikiri kiwanda hufa ghafla kama mbu kapuliziwa rungu?..hivyo vilikuwepo na watu walitembea ucchi nguo hakuna,mahitaji muhimu hayakuwepo
Hakuna mtu asiye na ujinga,na ujamaa ulikua ujinga
 
We unafikiri kiwanda hufa ghafla kama mbu kapuliziwa rungu?..hivyo vilikuwepo na watu walitembea ucchi nguo hakuna,mahitaji muhimu hayakuwepo
Hakuna mtu asiye na ujinga,na ujamaa ulikua ujinga
Unaongea uwongo bhana miaka gani watu wametembea uchi aisee Nyerere alikua anawagawia uniform za shule madaftari bure kabisa hawa viongozi wengi wamesoma bure mpaka Elimu ya Juu wengine hadi Nchi za Nje huko sema ule ulikua mfumo unataka yale mambo ya socialism au nusu Capitalism ndio maana Babu alisema siasa yake hafungamani na Nchi yeyote bila Babu hapa pasingekalika kwa jinsi watu walivyo majambazi ya mali za Umma na ubinafsi..
 
Wanatafuta tu njia ya kujipatia chochote baada ya kuchoka kuosha viibibi vizee kwenye nursing houses. Na huyo Ted Cruz ni kiazi ambaye anadanganywa kuwa kuna unyanyasaji wa Wakristu Tanzania, kisa yule TAPELI Gwajima kafungiwa kanisa. Pumbavu zao
Wewe kinachokuweka kwa Samia Mhalifu kinajulikana wazi.
 
Unaongea uwongo bhana miaka gani watu wametembea uchi aisee Nyerere alikua anawagawia uniform za shule madaftari bure kabisa hawa viongozi wengi wamesoma bure mpaka Elimu ya Juu wengine hadi Nchi za Nje huko sema ule ulikua mfumo unataka yale mambo ya socialism au nusu Capitalism ndio maana Babu alisema siasa yake hafungamani na Nchi yeyote bila Babu hapa pasingekalika kwa jinsi watu walivyo majambazi ya mali za Umma na ubinafsi..
Kusini huko wametembea uchu nguo hakuna hela wanazo,waziri alipoenda akina mama wakamlaki matiti wazi akina baba wameshona magunia kuwa nguo

Hivyo viwanda vilikuwepo lakini bidhaa zilizozalishwa zilikua adimu mitaani, vilikua vikizalisha nini!?
 
Kusini huko wametembea uchu nguo hakuna hela wanazo,waziri alipoenda akina mama wakamlaki matiti wazi akina baba wameshona magunia kuwa nguo

Hivyo viwanda vilikuwepo lakini bidhaa zilizozalishwa zilikua adimu mitaani, vilikua vikizalisha nini!?
Mimi sikubaliani na sera zake zote ila nilitegemea wanapobadilishana vijiti atatokea mtu kidogo afadhali ili Nchi iende ila ndio hakuna kitu kinafanyika ni kama watu wamedumaa tu na wamepoteza Uzalendo wa kujali rasilimali za Nchi kwa ajili ya vizazi vijavyo..
 
Mzee yupi Mwalimu Julius Nyerere unasema mjinga daah basi una shida sehemu sio bure aisee..
Nyerere...
Kaacha Tazara..
Mgodi wa kiwira ukiwa vizuri
Viwanda vya nguo..
General tire wahuni wamepeleka mitambo Kenya hapo Yana..
Madini alisema tuyaache hayaozi wakisoma watakuja kuchimba wenyewe sasa hivi yanagawiwa bure hakuna hata faida ya kuwa na madini..
Alitengeneza mazingira ya watu kutokubaguana kwa udini wao au makabila yao wengi walitumia Kiswahili kwa kiwango kikubwa alifauru..
Kwa kipindi hicho kama alifanya haya na kuyasimamia nampa pomgezi sana..
Huyu kama kina tlaahtlaah na Lukas mwashambwa!
 
Mimi sikubaliani na sera zake zote ila nilitegemea wanapobadilishana vijiti atatokea mtu kidogo afadhali ili Nchi iende ila ndio hakuna kitu kinafanyika ni kama watu wamedumaa tu na wamepoteza Uzalendo wa kujali rasilimali za Nchi kwa ajili ya vizazi vijavyo..
Siyo kweli,watanzania wa 1990s hawakuweza kumiliki radio cassette, television au vyombo vya moto,leo kila nyumba ina chombo cha moto, television,simu,makazi Bora yameongezeka,barabara Zina lami, maendeleo yapo,nchi imefunguka tofauti na huyo mzee wa ujamaa
Sasa hivi kufaulu la Saba siyo issue elimu ya sekondari ni ya lazima
 
Siyo kweli,watanzania wa 1990s hawakuweza kumiliki radio cassette, television au vyombo vya moto,leo kila nyumba ina chombo cha moto, television,simu,makazi Bora yameongezeka,barabara Zina lami, maendeleo yapo,nchi imefunguka tofauti na huyo mzee wa ujamaa
Sasa hivi kufaulu la Saba siyo issue elimu ya sekondari ni ya lazima
Hata kama hawakumilika,sio hii ya Sasa, Wachache ndio wanafaidi keki Tena Kwa uwizi!
 
Siyo kweli,watanzania wa 1990s hawakuweza kumiliki radio cassette, television au vyombo vya moto,leo kila nyumba ina chombo cha moto, television,simu,makazi Bora yameongezeka,barabara Zina lami, maendeleo yapo,nchi imefunguka tofauti na huyo mzee wa ujamaa
Sasa hivi kufaulu la Saba siyo issue elimu ya sekondari ni ya lazima
Sasa ulitaka hivyo vitu viwepo miaka ya 90 kila nyumba kuna gari Nchi gani hiyo aisee daah wabongo kwa uongo...
 
Na wewe ni nini kinachokuweka kwa Tundu na Heche?
Ni Tanzania.
Kwani hili nalo ni swali la kumuuliza mtu ukiwa na akili timamu?

Nitajie mtu mwingine yeyote mbali ya hao anayebeba matumaini ya Tanzania ya kesho na nitakuwa naye, kama hao huwapendi.
 
Sasa ulitaka hivyo vitu viwepo miaka ya 90 kila nyumba kuna gari Nchi gani hiyo aisee daah wabongo kwa uongo...
Chombo cha moto siyo gari tu,hata pikipiki ni chombo cha moto,1990s vyombo vya moto vilikua vya serikali,wa Asia au kanisa, wabongo wengi walikua wakitembea kwa miguu, hawana hata baiskeli,ndiyo maana hapakua na vibonge wala vitambi
 
Chombo cha moto siyo gari tu,hata pikipiki ni chombo cha moto,1990s vyombo vya moto vilikua vya serikali,wa Asia au kanisa, wabongo wengi walikua wakitembea kwa miguu, hawana hata baiskeli,ndiyo maana hapakua na vibonge wala vitambi
Vibonge na vitambi ni kwa sababu ya GMO food sio hizo mambo ya kutembea kwa miguu wala nini Nchi za kibepari si tunao majirani zetu wa Kenya pale tunaona wanavyosota asilimia kubwa ya ardhi ni ya watu wachache sana maisha yapo juu na kupata hiyo hela ya kuendesha life sio mchezo..
 
Back
Top Bottom