Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Ndo unavyodanganywa uko kanisani? Maendeleo makubwa yote yapo mikoa ya Pwani Yan dar es salaam, Zanzibar, Tanga Pwani

Embu tujitenge tuone mtafanya Nini? Au nanyinyi hapo uyole mnajiona wazungu kisa ni wakristo?
Muulize Matajiri wakubwa wote wa Tanzania ni waupande gani?
 
Wanatafuta tu njia ya kujipatia chochote baada ya kuchoka kuosha viibibi vizee kwenye nursing houses. Na huyo Ted Cruz ni kiazi ambaye anadanganywa kuwa kuna unyanyasaji wa Wakristu Tanzania, kisa yule TAPELI Gwajima kafungiwa kanisa. Pumbavu zao
Je Gwajima hakufungiwa?
 
Ndo unavyodanganywa uko kanisani? Maendeleo makubwa yote yapo mikoa ya Pwani Yan dar es salaam, Zanzibar, Tanga Pwani

Embu tujitenge tuone mtafanya Nini? Au nanyinyi hapo uyole mnajiona wazungu kisa ni wakristo?
Hayo maeneo uliyoyataja maendeleo yameletwa na wageni (Waarabu, Wareno na Wakoloni wazungu). Kwani baada ya Mkoloni kuondoka pale Tanga wenyeji Waislamu mmefanya maendeleo gani?
 
Kwan wazaramo ndo waislamu pekee?

Huna hoja kakojoe ukalele, makafiri weny pesa ni hawa walioajiriwa ambao wanavibiashara vya hapa na pale, sasa jiulize katka watanzania milion 60+ walioajiriwa hawafik asilimia 1 ya watu wote

Biashara kubwa zote ni kobaz
Wafanyabiashara wakubwa Mbeya,Mwanza,Arusha pamoja na Mikoa yote ya Kanda hizi si kobaz,wafanyabiashara wazalendo kuanzia mbugani kwenye migodi na sekta zote kubwa zalishi si kobaz na hata hapo Dar es salaam wakinga wengi na waha si Kobaz I unapogeneralize unawaongelea wahindi na waarabu wa Dar?
 
Mange naye katumwa na kanisa? Natamani hii nchi igawanywe mpewe yenu na manaswara wapewe yao tuwatenge kwa ukuta kama ule wa Israel vs Palestina, then baada ya miaka 5 tuangalie nani atakuwa anataka kuhamia kwa mwenzake.
Mkuu usituchanganye Waislamu wote na Bakwata wanaouza ardhi waliyopewa bure wajenge msikiti wao wanauza kwa njaa zao tafadhali sana aisee..
 
Wafanyabiashara wakubwa Mbeya,Mwanza,Arusha pamoja na Mikoa yote ya Kanda hizi si kobaz,wafanyabiashara wazalendo kuanzia mbugani kwenye migodi na sekta zote kubwa zalishi si kobaz na hata hapo Dar es salaam wakinga wengi na waha si Kobaz I unapogeneralize unawaongelea wahindi na waarabu wa Dar?
Mbeya Kuna wafanyabiashara wakubwa au wachuuzi wakubwa? Arusha wanaomiliki bureau de change wakina nani? Hotel mbuga za wanyama? Kampuni za tours?

Au akil zako znakutuma wale matour guide wakiaarusha ndo wamilik wa kampuni? Au migodi hyo inayomilikiwa na wazungu ndo unazan ndi yenu makafiri? Au unaongelea Nini?

Tajiri wa mbeya ni tughimbe, mdope, gr hotel mgwasi na mtawa ambao wote ni wachuuzi na wamilik wa hotel za nyota 2.5
 
Hayo maeneo uliyoyataja maendeleo yameletwa na wageni (Waarabu, Wareno na Wakoloni wazungu). Kwani baada ya Mkoloni kuondoka pale Tanga wenyeji Waislamu mmefanya maendeleo gani?
Tanga utafananisha na wapi? Ukiondoa dar, Zanzibar,pwani,kidogo mwanza maana uko kuliko bak kote hal mbaya
 
Back
Top Bottom