Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,452
Reaction score
14,484
1780457011570.png
 
Mange naye katumwa na kanisa? Natamani hii nchi igawanywe mpewe yenu na manaswara wapewe yao tuwatenge kwa ukuta kama ule wa Israel vs Palestina, then baada ya miaka 5 tuangalie nani atakuwa anataka kuhamia kwa mwenzake.
Ndo unavyodanganywa uko kanisani? Maendeleo makubwa yote yapo mikoa ya Pwani Yan dar es salaam, Zanzibar, Tanga Pwani

Embu tujitenge tuone mtafanya Nini? Au nanyinyi hapo uyole mnajiona wazungu kisa ni wakristo?
 
Ndo unavyodanganywa uko kanisani? Maendeleo makubwa yote yapo mikoa ya Pwani Yan dar es salaam, Zanzibar, Tanga Pwani

Embu tujitenge tuone mtafanya Nini? Au nanyinyi hapo uyole mnajiona wazungu kisa ni wakristo?
Dar mnaishi Tandika, Mbagala, Kisemvule. Ndiko mlikojazana. Mna maendeleo gani? Au unadhani kina Mo na Azam ni wenzenu?
 
Back
Top Bottom