Huyu liberatus yupo vzr sana kwenye upande wa diplomatic, anafanya kazi kubwa sanaaa. Natamani nipate CV yake
Kazi ipi?Watanzania walioko huko wanafanya kazi kubwa sana.
Kwa serikali ya Tanzania badala ya mtu kama huyu wafanye nae kazi wanamtafuta kumteka.Huyu liberatus yupo vzr sana kwenye upande wa diplomatic, anafanya kazi kubwa sanaaa. Natamani nipate CV yake
Ya kukimbilia Urusi.Kazi ipi?
Hawa jamaa wametumwa na kanisa tu kuvuruga utulivuYa kukimbilia Urusi.
Mange naye katumwa na kanisa? Natamani hii nchi igawanywe mpewe yenu na manaswara wapewe yao tuwatenge kwa ukuta kama ule wa Israel vs Palestina, then baada ya miaka 5 tuangalie nani atakuwa anataka kuhamia kwa mwenzake.Hawa jamaa wametumwa na kanisa tu kuvuruga utulivu
Kwahiyo wauaji walitumwa na msikiti.Hawa jamaa wametumwa na kanisa tu kuvuruga utulivu
Ndiyo hivyo. Na ndiyo maana vyombo vya usalama viamua kumuua Sheikh Sharif MajiniKwahiyo wauaji walitumwa na msikiti.
Kuikomboa Tanganyika kutoka kwa makucha ya wakoloni, WahuniKazi ipi?
Ndo unavyodanganywa uko kanisani? Maendeleo makubwa yote yapo mikoa ya Pwani Yan dar es salaam, Zanzibar, Tanga PwaniMange naye katumwa na kanisa? Natamani hii nchi igawanywe mpewe yenu na manaswara wapewe yao tuwatenge kwa ukuta kama ule wa Israel vs Palestina, then baada ya miaka 5 tuangalie nani atakuwa anataka kuhamia kwa mwenzake.
He is very clever and composed. A man from MbaraliHuyu liberatus yupo vzr sana kwenye upande wa diplomatic, anafanya kazi kubwa sanaaa. Natamani nipate CV yake
Nikajua anatokea kaskazini, kumbe mbeya?He is very clever and composed. A man from Mbarali
Dar mnaishi Tandika, Mbagala, Kisemvule. Ndiko mlikojazana. Mna maendeleo gani? Au unadhani kina Mo na Azam ni wenzenu?Ndo unavyodanganywa uko kanisani? Maendeleo makubwa yote yapo mikoa ya Pwani Yan dar es salaam, Zanzibar, Tanga Pwani
Embu tujitenge tuone mtafanya Nini? Au nanyinyi hapo uyole mnajiona wazungu kisa ni wakristo?
Kwani mange ndio nani?Mange naye katumwa na kanisa? Natamani hii nchi igawanywe mpewe yenu na manaswara wapewe yao tuwatenge kwa ukuta kama ule wa Israel vs Palestina, then baada ya miaka 5 tuangalie nani atakuwa anataka kuhamia kwa mwenzake.
Muislam mwenzioKwani mange ndio nani?
Sifa kubwa ya mwanamke muislam ni hijab. Jee anavaa?Muislam mwenzio