Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

Na wewe ni nini kinachokuweka kwa Tundu na Heche?
Nimekwisha kueleza, sasa kama hutaki kuelewa hilo si shauri langu tena.
Tundu Lissu na Heche wakifanya anayofanya Samia ya kuua waTanzania ili wabaki madarakani kwa manufaa yao nitakuwa mstari wa mbele kuwapopoa mawe. Mzee Ally Kibao, Samia kaamua kumuua kwa sababu kaingilia tu maslahi yake; hao unaonilazimisha kuwasehemu yao wakifanya hayo nitakuwa mstari wa mbele kuwasuta..

Nimekueleza hapo juu; kama unamjuwa mTanzania mwingine yeyote anayesimamia maslahi ya nchi hii na kuyaweka mbele zaidi ya kitu chochote, mTanzania huyo nitakuwa naye bega kwa bega. Sasa unataka kunilazimisha niseme nini unachotaka wewe.
 
Mtahama dar?..kuna mwenzenu alitawala robo karne,tukaishia viraka tupu makalioni
Akili ndogo ikauwa viwanda vyote vya nguo Ili mvae majasho ya wazungu sio?

Na yule wa somalia waliishia kuuawana
Hadi Leo Naigeria Sudan kote wanachinjana tu
 
Mnateteaga ujinga wa huyo mzee!
Ujinga ni kuua viwanda vya nguo alivyoanzisha Ili mnunue mitumba sio

Tukisema mna akili ndogo mnakasiririka,

Nikuulize huyo mwingine kama Kuna Cha maana amefanya zaidi ya kutuongezea deni la zaidi ya Trillion 50 Kwa miaka mitano tu ?
 
We unafikiri kiwanda hufa ghafla kama mbu kapuliziwa rungu?..hivyo vilikuwepo na watu walitembea ucchi nguo hakuna,mahitaji muhimu hayakuwepo
Hakuna mtu asiye na ujinga,na ujamaa ulikua ujinga
Vilikufa kwenye utawala upi
 
Ujinga ni kuua viwanda vya nguo alivyoanzisha Ili mnunue mitumba sio

Tukisema mna akili ndogo mnakasiririka,

Nikuulize huyo mwingine kama Kuna Cha maana amefanya zaidi ya kutuongezea deni la zaidi ya Trillion 50 Kwa miaka mitano tu ?
Hivyo viwanda yeye mwenyewe yupo na havikukidhi haja kwa low efficiency
 
Vibonge na vitambi ni kwa sababu ya GMO food sio hizo mambo ya kutembea kwa miguu wala nini Nchi za kibepari si tunao majirani zetu wa Kenya pale tunaona wanavyosota asilimia kubwa ya ardhi ni ya watu wachache sana maisha yapo juu na kupata hiyo hela ya kuendesha life sio mchezo..
Tanzania hakuna GMO foods
 
Hivyo viwanda yeye mwenyewe yupo na havikukidhi haja kwa low efficiency
Wenye akili fupi wakaona waagize mitumba iliyovaliwa na wazungu kuliko kuendeleza

Huyo aliyekopa trillion 50 Kwa miaka mitano huku akikabidhi waarabu bandari nini amefanya Cha maana ???
Tukisema Kuna tatizo upstairs mnaelewa ?
 
Wenye akili fupi wakaona waagize mitumba iliyovaliwa na wazungu kuliko kuendeleza
Mitumba tangu 1970s ipo
Huyo aliyekopa trillion 50 Kwa miaka mitano huku akikabidhi waarabu
Mkapa aliwapa bandari TICTS kwa miaka 25 hamkupiga kelele,si nyinyi waamini wala wavaa majoho wapiga punyeto
bandari nini amefanya Cha maana ???
Tukisema Kuna tatizo upstairs mnaelewa ?
Huwezi kuona cha maana alichofanya sababu hutafuti alichofanya
 
Tanzania hakuna GMO foods
Zipo kibao hayo mahindi yenyewe mbegu zake ni jamii hizo hizo ukivuna hayo mahindi hauwezi kutunza mbegu mpaka ukanunue kwao mbegu zingine tena kila mwaka miaka ya nyuma haikua hivi..
Tukiweza kununua apple,machungwa na matakataka mengine kutoka Zimbabwe na SA jua wanatuletea GMO foods..
 
Zipo kibao hayo mahindi yenyewe mbegu zake ni jamii hizo hizo ukivuna hayo mahindi hauwezi kutunza mbegu mpaka ukanunue kwao mbegu zingine tena kila mwaka miaka ya nyuma haikua hivi..
Tukiweza kununua apple,machungwa na matakataka mengine kutoka Zimbabwe na SA jua wanatuletea GMO foods..
Tanzania hakuna GMO na haziruhusiwi kisheria,miaka ya 90 tulikua tukipanda Cargill mbegu za mahindi,ungechukua Hindi lake ufanye mbegu basi udingepata kitu lakini haikua GMO
 
Back
Top Bottom