Watanzania kwenye jeshi la Marekani

Watanzania kwenye jeshi la Marekani

Mingendeu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
293
Reaction score
569
Wana jamvi, naomba kupata elimu kuhusu Watanzania wanao hudumu kwenye jeshi la marekani. Watanzania ambao si wanajeshi wa JWTZ lakini ni wanajeshi wa jeshi la Marekani,

Je wakirudi nyumbani wanatambulikaje na jeshi letu hasa wanapokuwa likizo?? Je hawa watu wanajiungaje na jeshi la Marekani??
 
Wengine wapo Jeshi la Uingereza, ila ukienda Ubalozini (Tanzania) kuonba ruhusa wanakukatalia.
Uraia wa Tanzania wanakua wameukana.
Kwahiyo wanavyorudi nyumban wanarud kama wageni??? Na ukikana uraia, kuna hatua gani zinazochukuliwa na serikali kwenye kum-exclude mtu huyo kweny mambo ya kitaifa!?
 
Mie nilijua unataka networks ningekuunganisha na mtu Ila sio ishu, hizo kazi nje wanachukua raia wa nchi masikini from Asia, central America and Africa
 
Wanarudi likizo kama wageni wengine wa Kimataifa.
Shukrani. Sasa mfano kijana anakitambulisho cha NIDA, then akaenda kukana uraia bila kunyang'anywa, si upo uwezekano wa kuendelea kutambulika kama raia? Au yule asiye na kitambulisho, akarud likizo na kuprocess kitambulisho cha NIDA upo uwezekano akatambulika bado raia wetu, nipo sawa???
 
Back
Top Bottom