Akiingizwa kwenye system ataonekana ni mgeni kutoka Marekani, hatopewa kitambulisho.Shukrani. Sasa mfano kijana anakitambulisho cha NIDA, then akaenda kukana uraia bila kunyang'anywa, si upo uwezekano wa kuendelea kutambulika kama raia? Au yule asiye na kitambulisho, akarud likizo na kuprocess kitambulisho cha NIDA upo uwezekano akatambulika bado raia wetu, nipo sawa???
Hapana, atakuja kama raia wa marekaniKwa sababu ya kutotambua uraia pacha, hivyo mtu huyo anapoteza haki zote za uraia wa Tanzania?
Nchi hii ilivyo haribiwa vibaya na ccm unafikiri wanaoenda huko wana hamu tena ya kurejea huoni hata akina Mange Kimambi wamekatalia huko.Je mahusiano yao na jeshi letu ni upi?? Wanavyorudi nchini wakiwa na mafunzo ya kijesh sio hatari??!
Hawana mahusiano yoyoteJe mahusiano yao na jeshi letu ni upi?? Wanavyorudi nchini wakiwa na mafunzo ya kijesh sio hatari??!
🤣🤣🤣🤣😃African American Mercenary, Dogs of War
Usirudie tena kuandika kizungu unatutesaNchi hii ilivyo haribiwa vibaya na ccm unafikiri wanaoenda huko wana hamu tena ya kurejea huoni hata akina Mange Kimambi wamakatalia huko.
Truly speaking, Tanzania is a hell on earth with nothing to show in development terms and the government has made the repression of the opposition its core policy.
Dhana nzima ya uraia wa nchi kama ilivyo sasa ni ujinga mtupu.Hao sio watanzania tena.
Wameshakabidhi pasi zao za kitanzania na kuukana uraia.
Wakirudi Tanganyika wanakuja kama raia wa nchi nyingine.
mtu anaengia mpya jeshin anapata kiasi gani kwa mwezi (usd)?Mimi tayari ni mwanajeshi mwenye cheo cha major.
Hao foreign army hawapati commission hivyo ni big no kuwa ofisa. Labda kama wewe ni sajini majorMimi tayari ni mwanajeshi mwenye cheo cha major.
Ni kama madereva wa Tz kule USA, wakiwa kule ni madereva kama wenzako lakn wakija Tz hawana.uhusiano na chama Cha madereva huku bongo, wanakuwa na mishe zai.tu mitaani, no uhusiano.Je mahusiano yao na jeshi letu ni upi?? Wanavyorudi nchini wakiwa na mafunzo ya kijesh sio hatari??!
Niunganishe mkuuMie nilijua unataka networks ningekuunganisha na mtu Ila sio ishu, hizo kazi nje wanachukua raia wa nchi masikini from Asia, central America and Africa
Hao sio Watanzania, bali Wamarekani wenye asili ya Tanzania.Wana jamvi, naomba kupata elimu kuhusu Watanzania wanao hudumu kwenye jeshi la marekani. Watanzania ambao si wanajeshi wa JWTZ lakini ni wanajeshi wa jeshi la Marekani,
Je wakirudi nyumbani wanatambulikaje na jeshi letu hasa wanapokuwa likizo?? Je hawa watu wanajiungaje na jeshi la Marekani??
Njoo basi uwe Traole wetu TanzaniaMimi tayari ni mwanajeshi mwenye cheo cha major.
Tupe muongozo mm nataka kua MI 6 pale UK 😎Mimi tayari ni mwanajeshi mwenye cheo cha major.
Wangekua wamejiunga jeshi la saudi arabia sidhani kama wangeruhusiwa kurudi tzHao sio watanzania tena.
Wameshakabidhi pasi zao za kitanzania na kuukana uraia.
Wakirudi Tanganyika wanakuja kama raia wa nchi nyingine.