Watanzania kwenye jeshi la Marekani

Watanzania kwenye jeshi la Marekani

Je wakirudi nyumbani wanatambulikaje na jeshi letu hasa wanapokuwa likizo?? Je hawa watu wanajiungaje na jeshi la Marekani??

Ni raia wa Marekani hao...

Sasa katika kila swali lako, fikiria raia wa Marekani anatambulika vipi nchini...
 
Naweza kupata connection
Kwanza pambana uwe raia wa USA.
If you're really like something you'll find the way. Hebu wazia kichwa kinavyopenda Raha ya ngono/sex so huwa kinafanya juu chini ili moyo usuuzike
 
Unarudisha passport ya TZ, unachukua ya Marekani
Sifikiri hivyo. Marekani wanakubali uraia pacha hivyo maadamu wamekupa uraia au una ukazi rasmi, hawatakwambia uukane uraia wako. Kwa mtu mwenye resident permit (Green card) akiwa jeshini bado atakuwa raia wa Tanzania kwani atakuwa bado hajaupata uraia wa US na akisafiri atasafiri na passport ya TZ.
Mtu ambaye ana passport ya US, bado anaweza kusafiri na passport ta TZ kwani hanyang'anywi huko, na ndio ina visa ya US siku alipoenda. Uelewa wangu...
 
Changamoto ya majeshi ya US na Ulaya ni kwamba mifumo Yao ya ajira ni za mikataba.
Siyo kama Bongo ukiajiriwa Jeshini Mkataba ni permanent mpaka unastaafu.
Kwa Majeshi ya US na Ulaya. Ajira zao ni za mkataba.
Ukiingia na elimu ya kawaida utapiga kazi miaka 4 mpaka 7. Unatoka unarudi uraiani.
Kama utabahatika kupanda rank za juu unaweza ukapiga kazi miaka 8 hadi 15. Unarudi uraiani
Mifumo Yao ya ajira ni tofauti.
Mtu aje hapa anibishie
 
Back
Top Bottom