Watanzania kwenye jeshi la Marekani

Watanzania kwenye jeshi la Marekani

Na na DJ wa kitanzania walioko Marekani je
 
Wana jamvi, naomba kupata elimu kuhusu Watanzania wanao hudumu kwenye jeshi la marekani. Watanzania ambao si wanajeshi wa JWTZ lakini ni wanajeshi wa jeshi la Marekani,

Je wakirudi nyumbani wanatambulikaje na jeshi letu hasa wanapokuwa likizo?? Je hawa watu wanajiungaje na jeshi la Marekani??
TZ bado nchi ya giza,aturuhusu dual citizen,so ukiwaona wa TZ wapo kwenye jeshi la US au UK basi watakua wameukana uraia wa TZ
 
Dhana nzima ya uraia wa nchi kama ilivyo sasa ni ujinga mtupu.

Siongelei uraia wa Tanzania, naongelea uraia wa nchi yoyote.
Fafanua vizuri , kama sijakupata ujinga wake ni nini hasa?

Mimi ninaamini uraia una privileges zake mkuu baina ya nchi na nchi, hata kwako wewe naamini kabla hujachukua uamuzi wa kuchukua uraia wa US uliona benefita zinaoutweigh za kuendelea kuwa mtanzania.

Ninaweza kukupa mfano mmoja tu wa privileges , hebu angalia ile issue ya yule kijana mtanzania aliyeuwawa na magaidi wa Hamas kule Kibbutz ile issue ilivyokuwa handled na serikali ya Tanzania sidhani kama serikali ya US ingekubali kirahisi ile issue kupotea kiaina ile na hata balozi ya Tanzania hakuna alert walitoa ilhali walijua kuna wanafunzi wa kitanzania pale kwenye lile eneo waliokwenda kwa mafunzo ya kilimo pengine hata ile video isingevuja basi tusingewahi kujua kilichompata yule kijana.
 
Mie nilijua unataka networks ningekuunganisha na mtu Ila sio ishu, hizo kazi nje wanachukua raia wa nchi masikini from Asia, central America and Africa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wajuaji bhana🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi tayari ni mwanajeshi mwenye cheo cha major.

Nilisikia inatoa maisha bombaaa sana haswa mtu akiwahi. Nina rafiki namfahamu yeye niece na nephews wake.. walijiunga wakasoma kama bure sijui na nini tena na wameacha tayari wana fanya biashara na mengine hata 30years hawajafika
 
Je mahusiano yao na jeshi letu ni upi?? Wanavyorudi nchini wakiwa na mafunzo ya kijesh sio hatari??!
DJs hawana impact ya moja kwa moja kwenye usalama wa nchi.

Hizi ndo akili za watanzania na serikali yao. Usalama gani au hatari gani haswa unayoongelea wewe?

Hiyo hatari wana-pose wanajeshi au watu wanaotoka nje tu?

TZ haina dual citizenship bado mnaogopa ilhali hao watu wakija nchini wanakua kama wageni wakati nchi kama Kenya, Nigeria, SA, Rwanda nk zina dual citizenship na raia wao kibao wapo nje na kwenye majeshi huko ila hawana hiyo hofu. Umaskini wa watanganyika unachangiwa kwa asilimia kubwa na uwoga wao.
 
Fafanua vizuri , kama sijakupata ujinga wake ni nini hasa?

Mimi ninaamini uraia una privileges zake mkuu baina ya nchi na nchi, hata kwako wewe naamini kabla hujachukua uamuzi wa kuchukua uraia wa US uliona benefita zinaoutweigh za kuendelea kuwa mtanzania.

Ninaweza kukupa mfano mmoja tu wa privileges , hebu angalia ile issue ya yule kijana mtanzania aliyeuwawa na magaidi wa Hamas kule Kibbutz ile issue ilivyokuwa handled na serikali ya Tanzania sidhani kama serikali ya US ingekubali kirahisi ile issue kupotea kiaina ile na hata balozi ya Tanzania hakuna alert walitoa ilhali walijua kuna wanafunzi wa kitanzania pale kwenye lile eneo waliokwenda kwa mafunzo ya kilimo pengine hata ile video isingevuja basi tusingewahi kujua kilichompata yule kijana.
"Nationalism is an infantile disease, it is the measles of mankind" - Albert Einstein.

Uraia umeleta mgawanyiko mkubwa sana wa kijinga kwa sababu zisizo na mashiko. Huyo kijana aliyeuawa chqnzo chake ni vita ya kutafuta uraia.

Watu wengi wanapata uraia kwa ajali ya kizaliwa tu, na ajali hiyo inawafunga walipozaliwa.

Ukizaliwa Tanzania halafu tabia zako si kama za Watanzania, ni kama za wa Finland, uraia unakuadhibu usiishi na watu kama wewe Finland unalazimika kuwa na masharti mengi sana kabla ya kwenda Finland.

Hizo privileges unazoziona ,a uraia zingeweza kupatikana katika mfumo wowote ule usio wa uraia.
 
Mkuu embu Lete shavu Hilo kikubwa pesa
20250531_204625.jpg
 
Wengine wapo Jeshi la Uingereza, ila ukienda Ubalozini (Tanzania) kuomba ruhusa wanakukatalia.
Uraia wa Tanzania wanakua wameukana.
Binafsi nikipewa nafasi ya kuukana uraia wa Tanzania Ili niwe hata msomali siwezi kukataa kabisa.

Najichukia kuzaliwa Tanzania na kuendelea kuongozwa na CCM.
 
Back
Top Bottom