ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
Unabwabwaja tu bila kuwa na hoja. Hivyo ulivyopoyoyo nchi zinazojifungia ndani na kutangaza idadi kubwa ya maambukizi ndiyo wakifikwa na misiba viongozi wa nchi nyingine watakwenda?
Yaani waogope kuja Tz kwa kuhofia Corona kwakuwa hatuchukui hatua madhubuti kwa maoni yako, halafu waende Kenya wanaotangaza maambukizi ya watu 1000 kila baada ya masaa 24? Na takwimu hizo za kutisha watakwenda tu kwakuwa wao wanatangaza?
Hizi bangi unazotumia hebu badilisha
Yaani waogope kuja Tz kwa kuhofia Corona kwakuwa hatuchukui hatua madhubuti kwa maoni yako, halafu waende Kenya wanaotangaza maambukizi ya watu 1000 kila baada ya masaa 24? Na takwimu hizo za kutisha watakwenda tu kwakuwa wao wanatangaza?
Hizi bangi unazotumia hebu badilisha