Emmanuel Mkwama
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 165
- 122
"Sipendi kujihusisha na mambo ya siasa wala kuchangia chochote kuhusiana na mambo ya siasa."
Ndugu zangu heri nyingi ziwafikie,nikiwa salimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.........
Ndugu zangu kiukweli siasa sipendi kwa sababu ya michezo michafu iliyopo kwenye siasa. Lakini leo ningetamani kuandika jambo moja nikijaribu kushare nanyi kuhusiana na ya uadilifu,uzalendo + hofu ya Mungu.
Kiukweli kwa sasa tulipo fika kama Taifa kuna haja ya kuwa na katiba yenye kutamka na kuogopewa na wale wote wenye kufanya ama kuingia mikataba ya ovyo pamoja wale wote wenye tabia ya kula rushwa ama kufuja mali za umma. Katiba ingetamka moja kwa moja wale wote wenye kufanya haya ni kupigwa risasi hadharani na kutaifisha mali zake zote.
Kiukweli kuna walaka unaendelea kusomwa wa kanisa katoliki ambao mimi pia ni muhumini huko,ndipo kulipo ni ibua huko na kuja na wazo langu hili la kupigwa risasi hadharani kwa wale wote wenye kuishauri serikali vibaya na kuingiza nchi ama Taifa kwenye shida.
Nahisi taifa kama taifa lingekuwa na hofu na nidhamu ya uadilifu Inge shamiri miongoni mwao viongozi ama wa shauri wa rais.
Nawatakia mapumziko mema na usiku mwema.
Ndugu zangu heri nyingi ziwafikie,nikiwa salimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.........
Ndugu zangu kiukweli siasa sipendi kwa sababu ya michezo michafu iliyopo kwenye siasa. Lakini leo ningetamani kuandika jambo moja nikijaribu kushare nanyi kuhusiana na ya uadilifu,uzalendo + hofu ya Mungu.
Kiukweli kwa sasa tulipo fika kama Taifa kuna haja ya kuwa na katiba yenye kutamka na kuogopewa na wale wote wenye kufanya ama kuingia mikataba ya ovyo pamoja wale wote wenye tabia ya kula rushwa ama kufuja mali za umma. Katiba ingetamka moja kwa moja wale wote wenye kufanya haya ni kupigwa risasi hadharani na kutaifisha mali zake zote.
Kiukweli kuna walaka unaendelea kusomwa wa kanisa katoliki ambao mimi pia ni muhumini huko,ndipo kulipo ni ibua huko na kuja na wazo langu hili la kupigwa risasi hadharani kwa wale wote wenye kuishauri serikali vibaya na kuingiza nchi ama Taifa kwenye shida.
Nahisi taifa kama taifa lingekuwa na hofu na nidhamu ya uadilifu Inge shamiri miongoni mwao viongozi ama wa shauri wa rais.
Nawatakia mapumziko mema na usiku mwema.