Watanzania hawataki changamoto ila wanataka mafanikio tu

Watanzania hawataki changamoto ila wanataka mafanikio tu

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,374
Kama ukitaka kujua watanzania wanafiki kaishi nao nchi za nje ndio utajua watanzania wapoje. Nasema ili sio kwa kutunga ni ukweli mtupu.

Mtanzania hataki changamoto yoyote ya mabadiliko wa kuthubutu kama ugali na dagaa hupo nyumbani kwake.

Leo mtaani ukianzisha biashara ya mavi ya kuku yakalipa wote nao wanaanza kuuza mavi ya kuku bila kujua changamoto zake.

Kuanzia siasa, uchumi, michezo na n.k. Naeleza ili kwa sababu kama teknolojia zingekuwa zipo Tanzania kwa mwenendo huu ambao hata wakiambiwa changamoto zake wasingekubali.
 
Wee nyampaa hayo maandamano na damu za watanganyika zilizo mwagika unafikili zinataka nini kama sio mabadiliko kisiasa,kiuchumi,kijamii unataka watanganyika wafanye nini !!! Kwasasa hao unaowasema labda ni kaka na dada zako ila sio watanzania wa sasa
 
Back
Top Bottom