Napenda watanzania waelewe vizuri kuwa CCM ndio adui yetu mkubwa. CCM ipo madarakani kwa miaka 60 sasa na bado tunahangaika na maji vijijini, madawati, chakula na magonjwa yanayotibika bado yanaua watu nchi hii.
Blaa blaa za CCM zimeifikisha nchi hii katika umaskini mkubwa hata baada ya kuwa na rasilimali nyingi. Wanasiasa wa CCM ndio wanaofaidika na mfumo CCM, huku mamilioni ya watanzania wakiambulia vumbi, kuwapungia mikono na kuwashangilia wezi ambao wanakuja kwao kwa kivuli cha viongozi.
Ndugu zangu watanzania ni wakati muafaka wa kuondokana na CCM na mfumo wake. Mfumo wa CCM ni mkubwa sana nchini na mtandao wa kimkakati wa kutawala milele na kuiba mali za watanzania kwa visingizio vingi.
Natoa mwito kila mtanzania mwenye akili timamu afanye chochote kuikataa CCM na mawakala wake.
Blaa blaa za CCM zimeifikisha nchi hii katika umaskini mkubwa hata baada ya kuwa na rasilimali nyingi. Wanasiasa wa CCM ndio wanaofaidika na mfumo CCM, huku mamilioni ya watanzania wakiambulia vumbi, kuwapungia mikono na kuwashangilia wezi ambao wanakuja kwao kwa kivuli cha viongozi.
Ndugu zangu watanzania ni wakati muafaka wa kuondokana na CCM na mfumo wake. Mfumo wa CCM ni mkubwa sana nchini na mtandao wa kimkakati wa kutawala milele na kuiba mali za watanzania kwa visingizio vingi.
Natoa mwito kila mtanzania mwenye akili timamu afanye chochote kuikataa CCM na mawakala wake.