
mkuu naona inawezekana hili jambo kwako ni geni ila naomba nikukumbushe kuwa wabunge wa upinzani walilipigia kelele sana jambo hilo na rais akiwa ndani ya baraza LA mawaziri wa awamu zilizopita akishiriki kutunga na kupitisha sheria zilizoruhusu Mchanga huo kutoka.Kama sio unafiki ninini?
Kwa nini hakupinga kipindi kile sheria na kanuni hizo zikipitishwa? Acheni ujinga wala hapaswi kusifiwa ila anapaswa kulaumiwa coz ni yeye pia aliyehusika tukafika hapa tulipofika,wala sio suala la kumbebesha mzigo Mhongo hapana.
Kama yeye amedhamiria kweli awaondolee kinga ya kushitakiwa marais waliohusika katika kadhia hiyo.
Zaidi ya hapo uhuni mtupu,wamekula wamemaliza sasa wanatutafutia mchawi.