Umetoka instagram huko kwa chizi wenu mange ndio unatulea povu lako humu!we unajua nini kuhusu madini na usafirishaji wake?! Kuna mkataba wowote unaujua kuhusu usafirishaji?!
Wewe na Magufuli nani anajua zaidi?!hivi unaujua uzembe wa Muhongo katika hili kweli au unapovuka tu!?kama hujui ni heri tu ukakaa kimya!!
Kwahiyo magufuli asikemee chochote kile kibaya kinachotokea kwasababu tu itaonekana makosa yalifanyika nyuma kwa hiyo viongozi wasasa hawahusiki basi wasiwajibishwe?!bogus kabisa,mnyonge mnyongeeni haki yake mpeni,Muhongo alifanya uzembe uliotukuka...
Ahsante Magufuli