mkuu legeza ubongo uelewe vitu vidogo..tatzo sio mkataba wa kusafirisha mchanga tatzo kuna uhuni unafanyika akat mchanga unasafirishwaHuyu rais alikuwa bungeni toka 1995 alikuwa ni mmoja wa wabunge wa ccm aliyepitisha hizi sheria aliyajua yote aya ila aliacha tuibiwe huyu rais alikuwa mtu ambaye naye aliwabeza wapinzani kuhusu muhongo alikuwa bungeni muhongo akilidanganya bunge alikuwa kwenye serikali zote zilizopita kama kiongozi lakini akuna ata siku moja alipinga ilo jambo leo anaona eti tunaibiwa huyu mtu ni mnafiki sijawai kuona katika dunia hii huyu magufuli alitupiga vijembe kuhusu muhongo leo anatuambia muhongo ni mbaya hapana huyu ni mnafiki kabisa akuna kitu hapa tumeigiziwa tu
Kwahiyo mnataka kutuambia huo Mchanga umeanza kupelekwa nje kipindi cha Mhongo kuwa waziri?Kwan kuna mkataba gan umeongelewa apo kwenye ripot??
The issue is watendaji wa serikali ndo wamesababisha upotevu wa pesa kwa kutokuripot wizi uliokuwa unaendelea kwa maslahi binafsi ndo maana mkuu kaamuru wachukuliwe hatua na haina uhusiano wowote na mkataba hadi hatua hii may be baadae watafuatilia na issue ya mikataba!!!
Acha kukurupuka kama Zitto!
Kumbe mwoga hivyo,usirudie tena sawa mkuuMkuu sijatukana tusi lolote nimesema ukweli mtupu kufa nitakufa tu kama nimepangiwa nitauliwa na magufuli siwezi kukwepa lazima nife kwenye mkono wake
Uwezo wako wa kufikiri mdogo sana!!Aidha ni kwamba hujui sakata hili kwa kina au umemezeshwa matango pori!!Mkuu wewe umemuona muhongo ndiyo mwenye makosa nikuulize muhongo alishakuwa rais wa nchi hii au toka muhongo awe waziri wa nishati ndiyo mchanga ulianza kusafirishwa kama majibu yako ni hapana basi kikwete ana makosa mkapa ana makosa kwann na hao wasikamatwe
Umenifurahisha jinsi ulivyomaliza.Kwa kweli Asante Magufuli.Umetoka instagram huko kwa chizi wenu mange ndio unatulea povu lako humu!we unajua nini kuhusu madini na usafirishaji wake?! Kuna mkataba wowote unaujua kuhusu usafirishaji?!
Wewe na Magufuli nani anajua zaidi?!hivi unaujua uzembe wa Muhongo katika hili kweli au unapovuka tu!?kama hujui ni heri tu ukakaa kimya!!
Kwahiyo magufuli asikemee chochote kile kibaya kinachotokea kwasababu tu itaonekana makosa yalifanyika nyuma kwa hiyo viongozi wasasa hawahusiki basi wasiwajibishwe?!bogus kabisa,mnyonge mnyongeeni haki yake mpeni,Muhongo alifanya uzembe uliotukuka...
Ahsante Magufuli
Yaani huyo ametoka instagram huko kwa Mange akabeba kama yalivyo akatuletea humu ndani!hata hajui sababu hasa ya tatizo ni nini hajuimkuu legeza ubongo uelewe vitu vidogo..tatzo sio mkataba wa kusafirisha mchanga tatzo kuna uhuni unafanyika akat mchanga unasafirishwa
watendaji wanaeka mashine zinazoshndwa kudetect gold na madin mengne
kama kwenye ule mchanga kusingekua na magumash basi wangeendelea kuusafirisha tu kama kawaida
sio kila kitu tunampinga rais,,kwa hili wote tuwe nyuma ya rais wetu



Tatizo watanzania wanafikiYaani huyo ametoka instagram huko kwa Mange akabeba kama yalivyo akatuletea humu ndani!hata hajui sababu hasa ya tatizo ni nini hajui![]()
Hivi unajua sera za Magufuli na mikakati yake ni tofauti na JK?!Kwahiyo kilichomshinda JK basi JPM akiache na yeye kisa tu Kikwete kilimshinda?!Kwahiyo mnataka kutuambia huo Mchanga umeanza kupelekwa nje kipindi cha Mhongo kuwa waziri?
Wako ndiyo mdogo kabisaUwezo wako wa kufikiri mdogo sana!!Aidha ni kwamba hujui sakata hili kwa kina au umemezeshwa matango pori!!
Hebu jaribu hata kugoogle basi uone kiini cha tatizo hili ni nini na Muhongo amekosea wapi!!usipinge vitu ikiwa hujui hata sababu!
mm mwenyewe natamani kufa wakiniuwa watakuwa wamenisaidia sana niogope nn sasaKumbe mwoga hivyo,usirudie tena sawa mkuu
Weka vituo mkuu, nimeshindwa kusoma maana pumzi inakata.Huyu rais alikuwa bungeni toka 1995 alikuwa ni mmoja wa wabunge wa ccm aliyepitisha hizi sheria aliyajua yote aya ila aliacha tuibiwe huyu rais alikuwa mtu ambaye naye aliwabeza wapinzani kuhusu muhongo alikuwa bungeni muhongo akilidanganya bunge alikuwa kwenye serikali zote zilizopita kama kiongozi lakini akuna ata siku moja alipinga ilo jambo leo anaona eti tunaibiwa huyu mtu ni mnafiki sijawai kuona katika dunia hii huyu magufuli alitupiga vijembe kuhusu muhongo leo anatuambia muhongo ni mbaya hapana huyu ni mnafiki kabisa akuna kitu hapa tumeigiziwa tu
Afadhali na ww umemuuliza ata kujibuKwahiyo mnataka kutuambia huo Mchanga umeanza kupelekwa nje kipindi cha Mhongo kuwa waziri?
Mm akuna kitu atafanya huyu kiumbe niache kupinga kwasababu akuna linalo nifuraisha yote ovyo kabisamkuu legeza ubongo uelewe vitu vidogo..tatzo sio mkataba wa kusafirisha mchanga tatzo kuna uhuni unafanyika akat mchanga unasafirishwa
watendaji wanaeka mashine zinazoshndwa kudetect gold na madin mengne
kama kwenye ule mchanga kusingekua na magumash basi wangeendelea kuusafirisha tu kama kawaida
sio kila kitu tunampinga rais,,kwa hili wote tuwe nyuma ya rais wetu
Nimekukubali Mkuu! Labda angeondoka CCM, halafu aongee haya tungemuelewa.Huyu rais alikuwa bungeni toka 1995 alikuwa ni mmoja wa wabunge wa ccm aliyepitisha hizi sheria aliyajua yote aya ila aliacha tuibiwe huyu rais alikuwa mtu ambaye naye aliwabeza wapinzani kuhusu muhongo alikuwa bungeni muhongo akilidanganya bunge alikuwa kwenye serikali zote zilizopita kama kiongozi lakini akuna ata siku moja alipinga ilo jambo leo anaona eti tunaibiwa huyu mtu ni mnafiki sijawai kuona katika dunia hii huyu magufuli alitupiga vijembe kuhusu muhongo leo anatuambia muhongo ni mbaya hapana huyu ni mnafiki kabisa akuna kitu hapa tumeigiziwa tu