Watanzania acheni unafiki

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
4,641
4,457
Huyu rais alikuwa bungeni toka 1995 alikuwa ni mmoja wa wabunge wa ccm aliyepitisha hizi sheria aliyajua yote aya ila aliacha tuibiwe huyu rais alikuwa mtu ambaye naye aliwabeza wapinzani kuhusu muhongo alikuwa bungeni muhongo akilidanganya bunge alikuwa kwenye serikali zote zilizopita kama kiongozi lakini akuna ata siku moja alipinga ilo jambo leo anaona eti tunaibiwa huyu mtu ni mnafiki sijawai kuona katika dunia hii huyu magufuli alitupiga vijembe kuhusu muhongo leo anatuambia muhongo ni mbaya hapana huyu ni mnafiki kabisa akuna kitu hapa tumeigiziwa tu
 
Kwan kuna mkataba gan umeongelewa apo kwenye ripot??
The issue is watendaji wa serikali ndo wamesababisha upotevu wa pesa kwa kutokuripot wizi uliokuwa unaendelea kwa maslahi binafsi ndo maana mkuu kaamuru wachukuliwe hatua na haina uhusiano wowote na mkataba hadi hatua hii may be baadae watafuatilia na issue ya mikataba!!!
Acha kukurupuka kama Zitto!
 
Kwan kuna mkataba gan umeongelewa apo kwenye ripot??
The issue is watendaji wa serikali ndo wamesababisha upotevu wa pesa kwa kutokuripot wizi uliokuwa unaendelea kwa maslahi binafsi ndo maana mkuu kaamuru wachukuliwe hatua na haina uhusiano wowote na mkataba hadi hatua hii may be baadae watafuatilia na issue ya mikataba!!!
Acha kukurupuka kama Zitto!
Wewe ndiyo umekurupuka kunijibu paka huo mchanga kusafirishwa kuna mikataba iliyopitishwa bungeni na huyu magufuli alikuwa unadhani walikurupuka tu kusafirisha siku nyingine usiwe na mihemko
 
Huyu rais alikuwa bungeni toka 1995 alikuwa ni mmoja wa wabunge wa ccm aliyepitisha hizi sheria aliyajua yote aya ila aliacha tuibiwe huyu rais alikuwa mtu ambaye naye aliwabeza wapinzani kuhusu muhongo alikuwa bungeni muhongo akilidanganya bunge alikuwa kwenye serikali zote zilizopita kama kiongozi lakini akuna ata siku moja alipinga ilo jambo leo anaona eti tunaibiwa huyu mtu ni mnafiki sijawai kuona katika dunia hii huyu magufuli alitupiga vijembe kuhusu muhongo leo anatuambia muhongo ni mbaya hapana huyu ni mnafiki kabisa akuna kitu hapa tumeigiziwa tu
Kwahiyo ulikuwa unashauri nini mkuu?
 
sasa unataka raisi atoke mbiguni??

Lazima awe miongoni mwetu, tena n vzr kumpa mchawi mwanao akulelee.

Na ndio maana namchukia EL kwa sbb moja tu, anajua kona zoote za ufisadi ila hataki kupambana nao. Kama angekuwa na sera ya kupambana na ufisadi angekuwa mtu sahihi zaidi wa kupewa nchi.

Ila alivoiweka sera hiyo kwapan, nikasema huyo aogopwe kama ukoma
 
Umetoka instagram huko kwa chizi wenu mange ndio unatulea povu lako humu!we unajua nini kuhusu madini na usafirishaji wake?! Kuna mkataba wowote unaujua kuhusu usafirishaji?!

Wewe na Magufuli nani anajua zaidi?!hivi unaujua uzembe wa Muhongo katika hili kweli au unapovuka tu!?kama hujui ni heri tu ukakaa kimya!!

Kwahiyo magufuli asikemee chochote kile kibaya kinachotokea kwasababu tu itaonekana makosa yalifanyika nyuma kwa hiyo viongozi wasasa hawahusiki basi wasiwajibishwe?!bogus kabisa,mnyonge mnyongeeni haki yake mpeni,Muhongo alifanya uzembe uliotukuka...

Ahsante Magufuli
 
Mkuu umechupa mipaka hayo ni Matusi sasa angalia Jazba zako zisijezikakuponza bure unakumbuka mwenzio wa Arusha alifanywa nini baada ya kumtusi Rais
 
Sizonje kaingizwa cha kike, hakuna wizi wowote apo zaidi ya ku-cook vidata vya kiujanja unja, wenye uelewa na hii mining industry wananielewa, wanaobisha ba kupiga mayowe ni wale wenye uelewa kama wa sizonje!
 
sasa unataka raisi atoke mbiguni??

Lazima awe miongoni mwetu, tena n vzr kumpa mchawi mwanao akulelee.

Na ndio maana namchukia EL kwa sbb moja tu, anajua kona zoote za ufisadi ila hataki kupambana nao. Kama angekuwa na sera ya kupambana na ufisadi angekuwa mtu sahihi zaidi wa kupewa nchi.

Ila alivoiweka sera hiyo kwapan, nikasema huyo aogopwe kama ukoma
Duuuuu
 
Umetoka instagram huko kwa chizi wenu mange ndio unatulea povu lako humu!we unajua nini kuhusu madini na usafirishaji wake?! Kuna mkataba wowote unaujua kuhusu usafirishaji?!

Wewe na Magufuli nani anajua zaidi?!hivi unaujua uzembe wa Muhongo katika hili kweli au unapovuka tu!?kama hujui ni heri tu ukakaa kimya!!

Kwahiyo magufuli asikemee chochote kile kibaya kinachotokea kwasababu tu itaonekana makosa yalifanyika nyuma kwa hiyo viongozi wasasa hawahusiki basi wasiwajibishwe?!bogus kabisa,mnyonge mnyongeeni haki yake mpeni,Muhongo alifanya uzembe uliotukuka...

Ahsante Magufuli
Mkuu wewe umemuona muhongo ndiyo mwenye makosa nikuulize muhongo alishakuwa rais wa nchi hii au toka muhongo awe waziri wa nishati ndiyo mchanga ulianza kusafirishwa kama majibu yako ni hapana basi kikwete ana makosa mkapa ana makosa kwann na hao wasikamatwe
 
Mkuu umechupa mipaka hayo ni Matusi sasa angalia Jazba zako zisijezikakuponza bure unakumbuka mwenzio wa Arusha alifanywa nini baada ya kumtusi Rais
Mkuu sijatukana tusi lolote nimesema ukweli mtupu kufa nitakufa tu kama nimepangiwa nitauliwa na magufuli siwezi kukwepa lazima nife kwenye mkono wake
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom