Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Wakuu heshima mbele.
Nimefikia uamuzi wa kuuliza hili kutokana na tafiti zangu binafsi kupitia kusoma blog mbali mbali na kuongea na baadhi ya watanzania waishio majuu.
Je kwanini watanzania wengi walioko majuu wanaonekana kuwa na mtizamo mbaya kuhusiana na kujichanganya na watanzania wenzao wanaoishi nje kwamba wengi wao ni nuksi, majungu na majanga?? je ni kweli watanzania (walio wengi) ni nuksi, wambea na wajaa majungu wakiwa huko majuu? Ni juzi tu mke wa mzungu aliweka mada kuhusu wabongo majuu na watu walitiririka kwa kina kabisa kuonyesha kwamba Watz walio wengi huko majuu ni nuksi na si watu wazuri kujichanganya nao na kujenga urafiki.
Binafsi siishi huko hivyo sijabahatika kuishi nao wakiwa huko nje na kuona tabia zao. Je shida ni nini haswa?
Kibongo bongo (ki hapa hapa home) najua kweli wabongo ni nuksi, ila kwa majuu nilidhani kwa kujichanganya na wengine ule unuksi wa kibongo utapotea.
Nawasilisha.
CC Wabeba box na walea vibibi wote.
Nimefikia uamuzi wa kuuliza hili kutokana na tafiti zangu binafsi kupitia kusoma blog mbali mbali na kuongea na baadhi ya watanzania waishio majuu.
Je kwanini watanzania wengi walioko majuu wanaonekana kuwa na mtizamo mbaya kuhusiana na kujichanganya na watanzania wenzao wanaoishi nje kwamba wengi wao ni nuksi, majungu na majanga?? je ni kweli watanzania (walio wengi) ni nuksi, wambea na wajaa majungu wakiwa huko majuu? Ni juzi tu mke wa mzungu aliweka mada kuhusu wabongo majuu na watu walitiririka kwa kina kabisa kuonyesha kwamba Watz walio wengi huko majuu ni nuksi na si watu wazuri kujichanganya nao na kujenga urafiki.
Binafsi siishi huko hivyo sijabahatika kuishi nao wakiwa huko nje na kuona tabia zao. Je shida ni nini haswa?
Kibongo bongo (ki hapa hapa home) najua kweli wabongo ni nuksi, ila kwa majuu nilidhani kwa kujichanganya na wengine ule unuksi wa kibongo utapotea.
Nawasilisha.
CC Wabeba box na walea vibibi wote.