Watanzania Abroad mnani??

Watanzania Abroad mnani??

Mrembo by Nature waswahili wanasema lisemwalo lipo huenda kuna ukweli hata kama mdogo ktk hayo uliyosikia. Nafikiri si wote na nataka kuamini kwamba si wote wenye majungu. Hata wanaoenda china husema haya haya kwamba watz ukiwakuta huko hata msaada hawakupi na ni wa kwanza kukukwepa. Sasa kama stori hizi tunazisikia tukiwa hapa bongo basi upo ukweli ktk hili kwa hao wanaoishi huko majuu. Najua umependa kuzungumzia watz na hukutaka kuongelea mataifa mengine ingawa na wao kwao majungu yapo.

Haha,.Ablessed,Nilifanikiwa kwenda China na nikaishi kule kama miezi 3,Ukweli ni kwamba Wa TZ ambao wapo China wanapiga vi dili vidogo vidogo,hasa vya kusaidia watu kununua vitu vya biashara na kusafirisha.Wa TZ wanaofanya kazi hizo wanaweza kuongea kichina vizuri tu.Wafanyabiashara wa Ki TZ wakienda China wanataka wasaidiwe kutembezwa kwenye makampuni na kupewa huduma ya kutafsiri kwa gharama ya Chini sana,Sasa wale vijana wanaona hailipi,maana kule kulivyo siku si kitu jioni utaona imefika na unachotafuta bao hujakipata,kijana hawezi kuhudumia wateja zaidi ya wawili kwa siku.

Wafanyabiashara wa K-TZ yasemekana wakiwaona Vijana wa K-TZ huko China basi wanasahau kua wapo kikazi,wao wanaingiza undugu na wanataka dezo/bei chini ndo maana wanakwepwa,.wanawapeleka wenye fuedha zao.{Hicho ndicho nilichokigundua mimi,Hasa Guangzhou}Wafanyabiashara K-TZ wawe wanajitahidi kuwalipa wale vijana ujira unaoridhisha,.
 
mydear... Mambo kwanza!
Pili kuhusu Mada alosema Mange ni ukweli mtupu MNO!
Namshukuru Mungu, me sipo nao karibu kwakweli, nilimzoea mmoja cos he was dating myfriend ila baada ya kuachana ye na kundi lake woooi.... Bas kabisa.
Me FIRST of all... Ili kupanua upeo na kujiendeleza kiakili,na kujua mambo mengi haina maana kujimix na wale wale ambao kibongo unawajua..hutajifunza kitu.

PILI,;Umbea- mtu asikujue kwako ama asimjue bwanako ama mkeo,atatoa sifa mbaya za kikabila anakubinafsishia!

Ushirikina: yani hii ipo tuu makazini umo, kukamata mabwana,kuiba kwa credit cards na kuiba stores usikamatwe at the end unatiwa nux tuu.

Competition za kijinga: hii inatokana na wivu mbaya, huyu anajenga Bongo,huyu kambeba Michael cors,sijuw miu miu,kavaa Cl,wig remmy orijinal, kesho unakuta kwenye blogs ohh she is fake,mara oh kanunua onsale, yani its nonsense,inshort inakera tuu..wataanza chuki kusemana nanini.. Bora ukae na hao wengne mataifa mengine akikusema haiumi mnaachana kimjin ila mbongo unajua mnakuwa mna ile ideology kuwa ni ndugu eh.

Wizi wa watu: wadada kuiba mabwana,wakaka ndo malaya balaa! Yani nawaonea sana huruma wanawake bongo et nna mume ama bf Ughaibuni!!! Tobaaa!!! Aisee wapo wachache mno ila wengi waroho hwaridhiki! Wanaonja mataifa yote!
Hao wanawake ndo Cheeeeeaaap and desperate(sio wote).
Yani ndomana wanawake humu wenye waume zao wapo very insecure,ukimchekea mme wake lazima akuulize!! Kwi kwi kwi...
Shughuli zao full kuwakamata kama walet.ila ndo ishakuwa sugu tena!!!

Then Kubebeshwa mizigo ukirudi bongo af uambulie lawama za kijinga. Unamuaga mtu vizuri anakupa zawadi unafikisha ila ili ajioneshe kwa ndugu zake kuwa alinunua zaidi anasema mzigo umefunguliwa bas tuu wamuone yupo juu.

Yani inshort,nchi yoyote ukienda wenyeji wanakwambia karibu ila kaa mbali na watu wa nchini mwako,msigombane muwe company tuu hi hi ukifa usafirishe nanini,ila ule ushoga NO
Then kuna usemi unasema adui yako nchi ya ugenini ni mwezio kutoka nchini kwako.

Unaona hapo ulipo sema sio wote? Basi kuna ambao wamebahatika kua in the circle of those who behave. Na ukiwauliza watakwambia wambea wapo ila wachache sana, most behave.
Katika hali ya kawaida mtu hawezi kua na rafiki 20 au 30. Rafiki ni 2 au 3, then kwa shughuli zile za kijamii kama misiba, harusi, graduations na mengine watu mnakutana na kujuliana hali. As you say sometimes mnaulizana nani anaenda/toka bongo apewe mzigo wa kusafirisha etc.
In any environment mkisha kaa a large group na muonane too often lazima kutakua na clashes.
Swali hapa ni is it specific to Tanzanians abroad? Jibu ni no.
Swali lingine ni has every Tanzanian abroad experienced this? Jibu ni no
Swali ngine ni: what do those who haven't experienced it do? Jibu ni kukaa mbali na watu wambea (any mbea, awe mtanzania or not). But this is not easy to implement kama mhusika mwenyewe ni mbea maana wambea watakua kila kona ya maisha yake. Aende ulaya au arudi kijijini lazima atavutia wambea maishani mwake.
 
Unaona hapo ulipo sema sio wote? Basi kuna ambao wamebahatika kua in the circle of those who behave. Na ukiwauliza watakwambia wambea wapo ila wachache sana, most behave.
Katika hali ya kawaida mtu hawezi kua na rafiki 20 au 30. Rafiki ni 2 au 3, then kwa shughuli zile za kijamii kama misiba, harusi, graduations na mengine watu mnakutana na kujuliana hali. As you say sometimes mnaulizana nani anaenda/toka bongo apewe mzigo wa kusafirisha etc.
In any environment mkisha kaa a large group na muonane too often lazima kutakua na clashes.
Swali hapa ni is it specific to Tanzanians abroad? Jibu ni no.
Swali lingine ni has every Tanzanian abroad experienced this? Jibu ni no
Swali ngine ni: what do those who haven't experienced it do? Jibu ni kukaa mbali na watu wambea (any mbea, awe mtanzania or not). But this is not easy to implement kama mhusika mwenyewe ni mbea maana wambea watakua kila kona ya maisha yake. Aende ulaya au arudi kijijini lazima atavutia wambea maishani mwake.

Very nicely put, Mwali.

How sometimes I wish others would think like you😱hwell:.
 
Last edited by a moderator:
Very nicely put, Mwali.

How sometimes I wish others would think like you😱hwell:.

Hahahaha, Nikija ughaibuni nipe kazi ya induction, hizi ni taarifa za kuwapa watu mapema kabla hawajaingia circles za wambea. Lol
 
Last edited by a moderator:
kwa ujumla dunia imebadilika, binadamu tumekuwa wabaya, hakuna kuaminiana kama ilivyokuwa zamani.
 
Haha,.Ablessed,Nilifanikiwa kwenda China na nikaishi kule kama miezi 3,Ukweli ni kwamba Wa TZ ambao wapo China wanapiga vi dili vidogo vidogo,hasa vya kusaidia watu kununua vitu vya biashara na kusafirisha.Wa TZ wanaofanya kazi hizo wanaweza kuongea kichina vizuri tu.Wafanyabiashara wa Ki TZ wakienda China wanataka wasaidiwe kutembezwa kwenye makampuni na kupewa huduma ya kutafsiri kwa gharama ya Chini sana,Sasa wale vijana wanaona hailipi,maana kule kulivyo siku si kitu jioni utaona imefika na unachotafuta bao hujakipata,kijana hawezi kuhudumia wateja zaidi ya wawili kwa siku.

Wafanyabiashara wa K-TZ yasemekana wakiwaona Vijana wa K-TZ huko China basi wanasahau kua wapo kikazi,wao wanaingiza undugu na wanataka dezo/bei chini ndo maana wanakwepwa,.wanawapeleka wenye fuedha zao.{Hicho ndicho nilichokigundua mimi,Hasa Guangzhou}Wafanyabiashara K-TZ wawe wanajitahidi kuwalipa wale vijana ujira unaoridhisha,.
Inasemekana wengine hulipwa pesa nzuri tu lkn wawatembezapo huongea na wachina na kuongeza bei ya bidhaa. Hivyo baada ya kuachana na hao watz wao hurudi kwa wale wachina na kuchukua chao. So sijui kama kuna ukweli ktk hili.
 
Na wewe ulikuwa unaupeleka wapi?


mi nilikuwa nawasikiliza tu. sina pa kuupeleka maana mambo ya watu binafsi mi sioni sababu ya kuhangaika na kutafuta umbeya au kupiga umbeya. kila mtu na maisha yake as long as ni watu wazima wanajua nini wanachokifanya
 
mi nilikuwa nawasikiliza tu. sina pa kuupeleka maana mambo ya watu binafsi mi sioni sababu ya kuhangaika na kutafuta umbeya au kupiga umbeya. kila mtu na maisha yake as long as ni watu wazima wanajua nini wanachokifanya

Nilidhani utaniambia ulikuwa huwasikilizi...unajua kusikiza habari za umbea na majungu nayo ni kasoro...mtu akileta habari za kupikwa unatakiwa umwambie hutaki kuzisikiza
 
Ila nawewe!! Wa lea vibibi maanake nini? Unaudhalilisha utu wako.. bibiyako huwa unamuita kabii?
 
Nilidhani utaniambia ulikuwa huwasikilizi...unajua kusikiza habari za umbea na majungu nayo ni kasoro...mtu akileta habari za kupikwa unatakiwa umwambie hutaki kuzisikiza

ilinibidi niwe nawasikiliza kwa kuwa wengi wao walikuwa wanaumia wakiona wanawake wakibongo wana date watu wengine sasa nikisema niwatimue ningewaumiza zaidi, wengine huo umbeya ulikuwa unawasaidia kurelease stress za kwa wazungu, sasa niliamua kuwa nawasikiliza na kuwapa ushauri.
 
mmmh mbona hata wazungu wambeya na wanapenda majungu vile vile......... ukiona neno lolote la kiswahili lina kingereza chake ujue nalo linafanyika huko
 
Nimekaa marekani nimekaa uk najua anachoongelea mtoa mada, ila nafikiri ukiyapa nafasi hayo mambo ndio utaona hivyo, na for the fact kwamba mnakuwa wachache sehemu fulani basi neno moja jamii yote iliyo hapo itajua. cha muhimu ni kuwa wewe mwenyewe na usimpe mtu nafasi kukupa umbea wowote,utaishi kwa amani sana
 
Tatizo ni kwamba hao wanao ona wenzao
Ni nuksi, ndio wanao sababusha matatizo .

Wanajifanya matawi ya juu ( bora) .

Naishi nje ya TZ na ninaelewana na kila Mtanzania, Muafrika na wenyeji.

Maisha mafupi jamani
Ishi upendavyo , acheni kuchunguza na ku judge
Wengine. Kwani wote tutaishia six feet under .

Hakuna alie bora .
 
niko nje mwaka wa 4 sasa na kuna watz wanaishi hapa jiran mbona mambo yanasonga sana tu?,huo n mtazamo tu.hapa maisha poa na bata kama kawa siku kama za ijumaa.na kusaidia kila wakati na umoja na vikao kila mara.watu wanakula maisha sana hapa na juz nilikuwa huko tz na waliniagiza kwao na kila kitu kikaenda poa.
 
Inasemekana wengine hulipwa pesa nzuri tu lkn wawatembezapo huongea na wachina na kuongeza bei ya bidhaa. Hivyo baada ya kuachana na hao watz wao hurudi kwa wale wachina na kuchukua chao. So sijui kama kuna ukweli ktk hili.

Ni kweli wapo wanaolipwa vizuri,wapo wazembe wa kutafuta mzigo wa mteja (mteja mpaka utaona anaongeza muda wa VISA),wapo wanao wahujumu wateja wao kwa kutaka cha juu.Hapo umakini unatakiwa kwa usaidizi wa mtandao wa mtu/mfanyabiashara husika,hayo mambo yapo,ila uwiano unatofautiana.Ikiwa mteja amepungukiwa pesa au kaona mzigo mzuri wenye tija hao vijana wanaweza kua wadhamini kwa mteja,yaani mteja akachukua mzigo bila kulipa pesa,na kulipa baadae.MAMBO YA DHULUMA HUWA YANATOKEA KWA PANDE ZOTE.
 
Ni kweli wapo wanaolipwa vizuri,wapo wazembe wa kutafuta mzigo wa mteja (mteja mpaka utaona anaongeza muda wa VISA),wapo wanao wahujumu wateja wao kwa kutaka cha juu.Hapo umakini unatakiwa kwa usaidizi wa mtandao wa mtu/mfanyabiashara husika,hayo mambo yapo,ila uwiano unatofautiana.Ikiwa mteja amepungukiwa pesa au kaona mzigo mzuri wenye tija hao vijana wanaweza kua wadhamini kwa mteja,yaani mteja akachukua mzigo bila kulipa pesa,na kulipa baadae.MAMBO YA DHULUMA HUWA YANATOKEA KWA PANDE ZOTE.
Asante sana mkuu kwa kunijuza manake taarifa zilikua zinakinzana
 
Back
Top Bottom