Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Don't you know how 'choose' conjugates?
Chose........Something else!!!!!!!!
Don't you know how 'choose' conjugates?
Chose........Something else!!!!!!!!
Yes...should be 'anything else' and not 'something else'.
Anything else............
Nah...that's it.
Thanks.......I learn from my Mistake.....
You seem to think there's something unique in ur heart, I should care about; u had respectful and intellectually serious conversation. mwingine angeishia kutukana hata kama kakosea! i like that!
odo shikamoo nlikuwa nataka tu uhakika loo japo Mrembo by Nature hajanijibu ila PLL kanijibu sa ukifanya research kwa kutumia mangelicious na sintalicious eti odo utapata jibu gani??
Wakuu heshima mbele.
Nimefikia uamuzi wa kuuliza hili kutokana na tafiti zangu binafsi kupitia kusoma blog mbali mbali na kuongea na baadhi ya watanzania waishio majuu.
Je kwanini watanzania wengi walioko majuu wanaonekana kuwa na mtizamo mbaya kuhusiana na kujichanganya na watanzania wenzao wanaoishi nje kwamba wengi wao ni nuksi, majungu na majanga?? je ni kweli watanzania (walio wengi) ni nuksi, wambea na wajaa majungu wakiwa huko majuu? Ni juzi tu mke wa mzungu aliweka mada kuhusu wabongo majuu na watu walitiririka kwa kina kabisa kuonyesha kwamba Watz walio wengi huko majuu ni nuksi na si watu wazuri kujichanganya nao na kujenga urafiki.
Binafsi siishi huko hivyo sijabahatika kuishi nao wakiwa huko nje na kuona tabia zao. Je shida ni nini haswa?
Kibongo bongo (ki hapa hapa home) najua kweli wabongo ni nuksi, ila kwa majuu nilidhani kwa kujichanganya na wengine ule unuksi wa kibongo utapotea.
Nawasilisha.
CC Wabeba box na walea vibibi wote.
Krappppppp
Wakuu heshima mbele.
Nimefikia uamuzi wa kuuliza hili kutokana na tafiti zangu binafsi kupitia kusoma blog mbali mbali na kuongea na baadhi ya watanzania waishio majuu.
Je kwanini watanzania wengi walioko majuu wanaonekana kuwa na mtizamo mbaya kuhusiana na kujichanganya na watanzania wenzao wanaoishi nje kwamba wengi wao ni nuksi, majungu na majanga?? je ni kweli watanzania (walio wengi) ni nuksi, wambea na wajaa majungu wakiwa huko majuu? Ni juzi tu mke wa mzungu aliweka mada kuhusu wabongo majuu na watu walitiririka kwa kina kabisa kuonyesha kwamba Watz walio wengi huko majuu ni nuksi na si watu wazuri kujichanganya nao na kujenga urafiki.
Binafsi siishi huko hivyo sijabahatika kuishi nao wakiwa huko nje na kuona tabia zao. Je shida ni nini haswa?
Kibongo bongo (ki hapa hapa home) najua kweli wabongo ni nuksi, ila kwa majuu nilidhani kwa kujichanganya na wengine ule unuksi wa kibongo utapotea.
Nawasilisha.
CC Wabeba box na walea vibibi wote.
Mrembo by Nature Hii ndiyo sababu kubwa aliyoieleza Fixed Point, nimem-quote hapo. I have several vivid examples, wengi wanakwepa macho ya wabongo wenzao na habari zao kusambaa huko walipo na kwa tanzania pia.
Mwali I missed you.........am glad your back........
Ni kweli kabisa ...........epukana nazo hapa am speaking from experience.......
Wakuu heshima mbele.
Nimefikia uamuzi wa kuuliza hili kutokana na tafiti zangu binafsi kupitia kusoma blog mbali mbali na kuongea na baadhi ya watanzania waishio majuu.
Je kwanini watanzania wengi walioko majuu wanaonekana kuwa na mtizamo mbaya kuhusiana na kujichanganya na watanzania wenzao wanaoishi nje kwamba wengi wao ni nuksi, majungu na majanga?? je ni kweli watanzania (walio wengi) ni nuksi, wambea na wajaa majungu wakiwa huko majuu? Ni juzi tu mke wa mzungu aliweka mada kuhusu wabongo majuu na watu walitiririka kwa kina kabisa kuonyesha kwamba Watz walio wengi huko majuu ni nuksi na si watu wazuri kujichanganya nao na kujenga urafiki.
Binafsi siishi huko hivyo sijabahatika kuishi nao wakiwa huko nje na kuona tabia zao. Je shida ni nini haswa?
Kibongo bongo (ki hapa hapa home) najua kweli wabongo ni nuksi, ila kwa majuu nilidhani kwa kujichanganya na wengine ule unuksi wa kibongo utapotea.
Nawasilisha.
CC Wabeba box na walea vibibi wote.
Wakuu heshima mbele.
Nimefikia uamuzi wa kuuliza hili kutokana na tafiti zangu binafsi kupitia kusoma blog mbali mbali na kuongea na baadhi ya watanzania waishio majuu.
Je kwanini watanzania wengi walioko majuu wanaonekana kuwa na mtizamo mbaya kuhusiana na kujichanganya na watanzania wenzao wanaoishi nje kwamba wengi wao ni nuksi, majungu na majanga?? je ni kweli watanzania (walio wengi) ni nuksi, wambea na wajaa majungu wakiwa huko majuu? Ni juzi tu mke wa mzungu aliweka mada kuhusu wabongo majuu na watu walitiririka kwa kina kabisa kuonyesha kwamba Watz walio wengi huko majuu ni nuksi na si watu wazuri kujichanganya nao na kujenga urafiki.
Binafsi siishi huko hivyo sijabahatika kuishi nao wakiwa huko nje na kuona tabia zao. Je shida ni nini haswa?
Kibongo bongo (ki hapa hapa home) najua kweli wabongo ni nuksi, ila kwa majuu nilidhani kwa kujichanganya na wengine ule unuksi wa kibongo utapotea.
Nawasilisha.
CC Wabeba box na walea vibibi wote.
Yani inshort,nchi yoyote ukienda wenyeji wanakwambia karibu ila kaa mbali na watu wa nchini mwako,msigombane muwe company tuu hi hi ukifa usafirishe nanini,ila ule ushoga NO
Then kuna usemi unasema adui yako nchi ya ugenini ni mwezio kutoka nchini kwako.