What do you mean kibongo bongo (yaani huku home) wabongo ni nuksi? Chunguza entourage yako maana wadhungu wanasema birds of a feather...
ndo maana nikasema kuwa mtu wa hivyo ana matatizo yake na hataki wengine hasa waTanzania wajue.ushamba tu dear ..unakimbia ndugu zako kisa kusemwa? kwanza kwa nini uhisi utasemwa? ...kujiona kusipo na maana...
shosti hizo blog ndo za kina sintalicious,mange mbutananga eti hizo ndio ulizotumia kwenye utafiti eeee?
Na kwann usemwe wewe asisemwe mwingine?lazima kuna vitu unafanya kwahyo unawapa watu sababu ya kukuangalia na kupata cha kusema,ila kama hauna makuu na ni mtu wa watu hawatapata cha kusema...so ukisemwa jitazame kwa jicho la tatu..ushamba tu dear ..unakimbia ndugu zako kisa kusemwa? kwanza kwa nini uhisi utasemwa? ...kujiona kusipo na maana...
ndo maana nikasema kuwa mtu wa hivyo ana matatizo yake na hataki wengine hasa waTanzania wajue.
Kuna rafiki yangu anasemaga 'ukiwa huna hela kila utakachoambiwa utaona unadharauliwa ama kudolishiwa'
Hata kwetu wapo
Hata kama ana matatizo yake, bado si sahihi na bado ni dhana potofu kudai kwamba 'wabongo' wengi ni wapika majungu na wambeya kana kwamba hizo tabia hazipo kwa watu wa mataifa mengine.
Suala la kutaka au kutotaka fulani na fulani wasijue hilo ni jingine kabisa. Sasa hilo suala linapofanywa kuwa kama vile linahusiana na utaifa wa mtu hapo ndo watu wanapopotoka.
Kuna wazungu Wamarekani wambeya, kuna Wahindi wa Kenya wapika majungu, kuna Wajamaika wenye roho nyeusi, kuna Watanzania waishio majuu ambao siyo wambeya, nuksi, wala wapika majungu na wanajichanganya na Watanzania wenzao na hufanya kila jitihada kuwaepa watu wenye tabia za hivyo bila kujali kabila, utaifa, rangi, dini, wala mielekeo ya kijinsia na kadhalika, na kadhalika.
shosti hizo blog ndo za kina sintalicious,mange mbutananga eti hizo ndio ulizotumia kwenye utafiti eeee?
Mmesahau jambo moja kuu ya kwamba watanzania tuna umoja na mshikamano hivyo haiwezekani jambo litokee kwa mtanzania mmoja Watanzania wengine wasijue.Ni tofauti na nchi nyingine ambako kila mtu yupo kivyake na wala hawezi hata kukukaribisha kwake.Mfano usitegemee ukawa na rafiki Mganda halafu akakukaribisha kwake Wakenya nao hali kadhalika.Wazungu ndo usiseme HAYO MAJUNGU YATATOKA WAPI?Majungu ni kiashiria kwamba watu wanaushirikiano maadam tu hayapelekwi kwa adui zako.
Hata wazungu wana majungu na umbeya mwingi tu.
Hivi unadhani hiyo mi-tabloids yote kazi yake nini kama si kuandika umbeya?
Mbona watu mnakuwa ignorant hivyo? Watu wana umbeya hadi wametengeza fursa za kujipatia kipato na kutajirika kutokana na huo huo umbeya ambao watu mnadai wazungu hawana.
Hivi mshawahi kuishi na wazungu kweli nyie?
Au labda wazungu hawa pay attention sana na waafrica?
sawa na wamachinga wakija Dar waswme watu wa Dar wako poa sana
kulinganisha na wao kwa wao?
Hata wazungu wana majungu na umbeya mwingi tu.
Hivi unadhani hiyo mi-tabloids yote kazi yake nini kama si kuandika umbeya?
Mbona watu mnakuwa ignorant hivyo? Watu wana umbeya hadi wametengeza fursa za kujipatia kipato na kutajirika kutokana na huo huo umbeya ambao watu mnadai wazungu hawana.
Hivi mshawahi kuishi na wazungu kweli nyie?
mhh naona povu linakutokaa asemayo mleta mada ni kweli labda ww kuna kitu 'naficha..... nimekaa nchi fulan huko ulaya kwa kweli wakuja wenzetu watz wanamajungu wivu umbea na choyo sio sori wakat mwingine c rahic kujitambulisha mtz.. ukimwalika mtz kwako kama una vitu vitu vizur bas atasikia wivu sana na km huna pia atakuseeema mpk basa na kutambiana kazi pia maana wengine kaz wafanyazo mbele zinadhalilisha utu wao hivyo huogopa zisijulikane halafu baya zaid watz weng hujitambulisha wao ni wakenya kisa tz inadharaulika na haijulikan @ nyani ngabu najua huwez pinga ninepitia life hilo na sina hamu.tena.
Bossman, nakuhakikishia kuwa wazungu are just as bad as everyone is when it comes to busyboding (to coin a word).
Na wao ndo pioneers wa tabloid journalism. So it absolutely has nothing to do with nationality, race, gender, or creed.
It is a universal thing.
nakubaliana na wewe 100 %
my point hapa ni kuwa watu wanaojuana ku share vitu
kama culture na langauge ndo wanakuwa so close hadi baadhi ya vitu
kama umbea na majungu vinajitokeza..
hali ni tofauti kama kuna langauge barrier na culture barrier
so mbongo akienda ugenini popote anaweza waona watu hao ni perfect
simply sababu assimilation ni ndogo sana...na anaweza observe wabongo wenzie simply sababu
hakuna barriers hizo...ingawa wato wote ni sawa kitabia..
.. kusengenya au umbea ni hulka na sidhani inasababishwa na utaifa wa mtu, bali mazingira anayoishi na pia background yake!
.. watz wanasemekana sana kuwa na katabia hako, labda ndo mazingira wengi tuliokulia ila nadhani kama umejichanganya na waafrika utaelewa kuwa si tatizo la watz pekee, waafrika wengi wana katabia hako!
.. Mrembo by Nature siku ukienda kubeba maboksi jaribu kujichanganya na wadhungu, hakika utapata picha nyingine ya hawa watu. Hata wao wanasengenya, wanasemana na pia ni wambea! (binamu yangu ndo kasema haya, nae anabeba zege huko)
Mh unajuaje kuhusu hilo?Labda kwa wanawake ila kwa wanaume maisha huwa ya furaha na kusaidiana.