Dah, kama kuna ukweli vile.wa mikoani
1. hawajui kuvaa
2. washamba, wanaigana sana na kufata mkumbo, mfano akiona mwenzie kaoa na yeye anataka aoe kumbe kiuhalisia bado hawezi kummudu mwanamke kulingana na kipato.
3. wakija dar wanajua posta, fery, na mliman city tu, usipowapeleka hayo maeneo wanaona kama hawajafika dsm
4. nguvu nyingii akili nukta
5. wanapigwa sana vibuti na madem, anaweza kumtumia pesa mwanamke ambaye hajawahi kumuona
6. ndio wanaoongoza kubwagwa na madem zao
7.wabishi sana, hata kama kitu cha kweli atataka league
8. hawazipendi timu zao, ajabu wanashabikia timu za yanga na simba ambazo zipo dar
9. wakija dar ujuaji mwingi, wakienda shopping wanapigwa sana bei
10.wakigombana na wake/madem zao hukimbilia kujinyonga.
11. wengi ndoto zao ni kufika dar
12. siku wanakuja dar, hawalali huo usiku huo wanapata usingizi wa mang'amng'am ili gar isiwaache
13. kuoga ni hiari
Vijana wa dar mnasura na sauti na rangi nyeupe kama dem wangu ila sema mna boa pale wenzenu wanapo vunjiwa mayai mterezo kwa nyuma hongera zenu vijana wa dar kama mgelikua nguo basi ningelikuiteni nyie ni malonya lonya kijana wa mkoa si shoboki na naishi kwa misingi na maadili nilofunzwa mkoan ama nyumbani
kiongozi soma muongozo vizuri unatutusi mbuzi mwenyewewatu wa mikoani ukipishana nae hujui kama umepishana na mtu au mbuzi
hiyo harufu wote wananuka
Huyu lazima ni yule wa Dar check chura
Nimestuka nilijua mbuzi wa bibi ameanza kucheka kumbe binadamu
wanaume wa dar wakienda kwenye kwenye migahawa mpaka Samaki wanaomba wasaidiwe kutolewa miba. ni aibu sana
Ha ha h..... mambo ya ajabu kabisaMwanaume wa Dar akizungumza utamsikia Jomoni ,mamboo ,mfyuu
Shilawadu ,ubuyu nipe ubuyu
Wanaume wa mkoani utamsikia Niaje wewe ,changamka mida hii
Hii Umejuaje Mkuu?watu wa mikoani wanakula vyakula vigumu mpaka wakienda kunya wanabeba na vilainishi ili wasichanike