Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

0042f5db423b93756dfb9fca18018503.jpg


Muwe mnachagua vya kuwalisha mifugo yenu huko mikoani!
 
Huu mchuano mkali wanaume wa Dar hatuwawezi wa mikoani wana maneno makali sana japo wanayosema yanaukweli kidogo ndani yake. Ngoja niwe msomaji zaidi
 
Naona huu mchuano wanaume wa mkoani wanaongoza kwa ushindi ila nimecheka aiseee watu mna maneno!!
 
Atakuwa wa kote kote si unajua ni mganga wa jadi kuna wakati anazama kijijini kutafuta dawa halafu anakuja dar kuwatibu wateja wake.
 
wa mikoani

1. hawajui kuvaa
2. washamba, wanaigana sana na kufata mkumbo, mfano akiona mwenzie kaoa na yeye anataka aoe kumbe kiuhalisia bado hawezi kummudu mwanamke kulingana na kipato.
3. wakija dar wanajua posta, fery, na mliman city tu, usipowapeleka hayo maeneo wanaona kama hawajafika dsm
4. nguvu nyingii akili nukta
5. wanapigwa sana vibuti na madem, anaweza kumtumia pesa mwanamke ambaye hajawahi kumuona
6. ndio wanaoongoza kubwagwa na madem zao
7.wabishi sana, hata kama kitu cha kweli atataka league
8. hawazipendi timu zao, ajabu wanashabikia timu za yanga na simba ambazo zipo dar
9. wakija dar ujuaji mwingi, wakienda shopping wanapigwa sana bei
10.wakigombana na wake/madem zao hukimbilia kujinyonga.
11. wengi ndoto zao ni kufika dar
12. siku wanakuja dar, hawalali huo usiku huo wanapata usingizi wa mang'amng'am ili gar isiwaache
13. kuoga ni hiari
Dah, kama kuna ukweli vile.
 
Vijana wa dar mnasura na sauti na rangi nyeupe kama dem wangu ila sema mna boa pale wenzenu wanapo vunjiwa mayai mterezo kwa nyuma hongera zenu vijana wa dar kama mgelikua nguo basi ningelikuiteni nyie ni malonya lonya kijana wa mkoa si shoboki na naishi kwa misingi na maadili nilofunzwa mkoan ama nyumbani
 
Vijana wa dar mnasura na sauti na rangi nyeupe kama dem wangu ila sema mna boa pale wenzenu wanapo vunjiwa mayai mterezo kwa nyuma hongera zenu vijana wa dar kama mgelikua nguo basi ningelikuiteni nyie ni malonya lonya kijana wa mkoa si shoboki na naishi kwa misingi na maadili nilofunzwa mkoan ama nyumbani
IMG-20180207-WA0123.jpg
 
Ukitak kujua utofauti wa wanaum wa dar na mikoani waanglie miondoko yao wanaum wa dar lazim watingixhe kalio zao kam dadazetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom