Watangazaji wa Kipindi cha Asubuhi Wasafi FM punguzeni 'Kujikomba' kwa Viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi kwani 'Mnaboa' mno

Umeshajjuliza ni kwanini Media za Kenya, Uganda na South Africa hazina huu 'Upuuzi' Mkuu?

Kwani hao Waandishi wa Habari wa hizi nchi mfano tajwa hapa wao hawana Familia?...
Wewe jiulize asilimia ngapi ya wanahabari wetu kweli wamesomea hiyo taaluma? Utakuta ni 2 to 5% labda, wengine wote ni basi tu wako hapo kwa bahati mbaya. Huwezi kuzuia kujikomba na upuuzi wote kwa watu wa hivyo.
 
Huko mwanzo nilipokuwa nikiwasikia nikadhani labda mtajirekebisha nayo kwani hata Clouds FM na Clouds tv 360 walikuwa na 'Upuuzi' huu ila sasa naona nanyi mmeuiga 'Utamaduni' huu...
Kumbe unaisikiliza kupata habari, basi habari zenyewe ndizo hizo.
 
Mkuu kweli una muda. Hili la watangazaji nadhani badala wa walimu kuundiwa tume ya kuangalia ubora nadhani ingeundwa Tume ya ithibati ya waandishi.

Tunahitaji zaidi proffessional journalists waingie kwenye hii tasnia. Tuna vijana wanagraduate wengi lakini hawapewi nafasi wanakuja kupewa impossible walishindwa kwenye fani zao wachekeshaji, wasanii wa muziki, wakina lokole etc.

Lakini cha msingi ni maslahi ya waandishi wa habari ni lazima yaongezwe ili industry iwe serious. Marehemu Ruge ndio alianza kunyanyua vipaji vya vijana kwa kuwapa platform ili hali hawajasomea lakini alijitahidi waliomsikia walikwenda kusoma wakapata na shahada kama kina Fetty, PJ etc

Mwisho wa siku hawa wengi hawataweza kukua kuwa level za kina Larry King, au Mo abudu au Jeff Koinange sababu ya substance ndogo kichwani. Elimu ni muhimu sana kwenye media . Juzi yuke binti Kija anamuhoji nyalandu hawezi kwenda straight to the point pale inabidi watafute replacement.
 
Sisi wakongwe tumezoea ladha zach kina Jenerali Ulimwengu hawa wa siku hizi in Madj tu.Uandishi wa habari in taaluma adhimu katika maendeleo ya jamii yeyote ile. Ndio maana wengine wanaita mhimili wa nne wa dola. Kuna watu wanakufa na vipaji vyao kutokana na hofu na ulimbukeni. Mama Samia ameeleza msingi wa yeye kujiunga na siasa chanzo ni majibu ya hovyo hovyo ya Mawaziri kwenye baraza la wawakilishi,waandishi wanapaswa wamjue kuwa ni mtu wa aina gani. Maana unaweza kujikomba kwa mtu asiye wa type hiyo.
 
Huko mwanzo nilipokuwa nikiwasikia nikadhani labda mtajirekebisha nayo kwani hata Clouds FM na Clouds tv 360 walikuwa na 'Upuuzi' huu ila sasa naona nanyi mmeuiga 'Utamaduni' huu.

Hii Nguvu ambayo Watangazaji wa Kipindi cha Asubuhi cha Wasafi FM mnaitumia kwa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Viongozi wa Serikali au wa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) hasa pale 'Wakiteuliwa' mngeitumia Kuibua mambo ya Kimsongi kwa Wasikilizaji wenu mngekuwa na Faida kubwa sana.

Leo Asubuhi Watangazaji wa Kipindi hiki ( hicho ) kuanzia Mtani wangu wa Kihaya David Rwenyagira SIMTANK 1000Ltrs, Charles William na Yule Haji Manara wao ( Zungu ) wametumia karibia dakika 30 'Kumsifia' tu Katibu Mkuu mpya wa CCM Ndugu Chongolo kitu ambacho kiukweli 'Kimetuboa' Watu Makini wengi tusiopenda Upuuzi na Ushamba katika Taaluma.

Na hata Mtangazaji wenu mwingine Daud Hillary ( Zembwela Ndimu ) nae ana haka 'Kautamaduni' na nahisi leo Asubuhi angekuwepo 'Kipindini' basi angesifu mpaka hata angeomba kwenda Kumlamba Miguu yake.

Mtani wangu David Rwenyagira na huyo Dogo Charles William mlipokuwa East Africa Radio mlikuwa very Critical and Objective katika 'Uwasilishaji' wenu ila sijui ni nini kimekumba na kuwabadilisheni huko mliko sasa.

Halafu kuna 'Sumu' moja mbaya mno nimeiona taratibu inaanza 'Kukolea' hapo Wasafi FM Radio hasa ya kuonyesha wazi wazi kuwa nyie ni typical Pro Government and Pro CCM huku 'Content' nyingi za kuhusu Upinzani na Wapinzani nchini mkiwa 'mnaziwasilisha' katika hali ya Unafiki na Kebehi fulani hivi.

Na hapa GENTAMYCINE wala sisemi kuwa kama Serikali ( kupitia Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ) na Chama chake Tawala ( CCM ) kikiwa kimefanya Jambo very positive msiwasifie ila itapendeza mkiwa fair kwa Kufanya hivyo hata kwa Wanasiasa Wapinzani na Vyama vyao pia kwakuwa Audience ya Wasafi FM Radio siyo tu Rais Mheshimiwa Mama Samia na wana CCM tu pekee bali wapo ( tupo ) hata Sisi tulio 'Neutral' na Wafuatiliaji wa Masuala Mtambuka ( Current Affairs ) za ndani na nje ya Tanzania.

Kilichonishtua sana na Kunisikitisha mno tu ni kwamba Watangazaji wote hawa ( hao ) waliokuwa 'Wakijikomba' hivyo ni wa 'Kiume' na sijajua kwa Watoto wa Kiume ' Kujikomba' vile kwa Mwanaume Mmoja tu Katibu Mkuu mpya wa CCM wanamtaka nini Baba wa Watu.

Radio yenu ni nzuri sana na ina Watangazaji wazuri, makini na wenye 'Mvuto' pia ila GENTAMYCINE nawaomba badilikeni ili 'tuwapendeni' zaidi. Na mkiona hadi leo 'nimewasilibeni' hivi jueni kuwa nawapenda na kuwakubali halafu sijataka 'Unafki' wa kuwaficheni katika kuwapeni huu ukweli ili 'mjisahihishe' kwa faida ya Sisi Wasikilizaji wenu.

Naamini tu 'Dozi' yangu hii itawabadili!!!

Sasa hao wapinzani kuna mambo gani wameifanyia nchi hadi nao wapongezwe? Obvious kama kuna jambo zuri wamefanya hao wapinzani lazima aatapongezwa maana media zipo nyingi tu hapa nchini siyo lazima iwe Wasafi tu! Lakini ukiona hakuna hata media moja inawapongeza hao upinzani basi ujue hawana kitu! Kwa hiyo hisia zako usizilazimishe kwao maana kwanza ni uzalendo kwa nchi yao ambayo inaongozwa na CCM kwa sasa! Jaribu kuanzisha stesheni yako ili uwe unaiponda CCM na serikali yake, siyo kuwapangia hao Wasafi FM. Ukishindwa hamia huko huko!
 
Sasa hao wapinzani kuna mambo gani wameifanyia nchi hadi nao wapongezwe? Obvious kama kuna jambo zuri wamefanya hao wapinzani lazima aatapongezwa maana media zipo nyingi tu hapa nchini siyo lazima iwe Wasafi tu! Lakini ukiona hakuna hata media moja inawapongeza hao upinzani basi ujue hawana kitu! Kwa hiyo hisia zako usizilazimishe kwao maana kwanza ni uzalendo kwa nchi yao ambayo inaongozwa na CCM kwa sasa! Jaribu kuanzisha stesheni yako ili uwe unaiponda CCM na serikali yake, siyo kuwapangia hao Wasafi FM. Ukishindwa hamia huko huko!
Pumbavu.
 
Hili la Slaa kurudi, ni lini alirudi Sisiem na kujitangaza?

Ninavyokumbuka wakati anajiondoa Cdm alisema kuwa atabaki kuwa 'neutral'.
Ukiona mtu yuko katikati jua kabisa "Kuna jambo anaficha"
Hata mashoga wengi hawaweki wazi details za mahusiano yao
 
INAWAONDOLEA CREDIBILITY SANA KWAO KAMA HAWAJUI, INABIDI WASIMAMIE WELEDI WAO MAMBO YA KUSIFIA ILI UPATE TEUZI EEEEEEEE HUO NI USHAMBA
 
Huko mwanzo nilipokuwa nikiwasikia nikadhani labda mtajirekebisha nayo kwani hata Clouds FM na Clouds tv 360 walikuwa na 'Upuuzi' huu ila sasa naona nanyi mmeuiga 'Utamaduni' huu.

Hii Nguvu ambayo Watangazaji wa Kipindi cha Asubuhi cha Wasafi FM mnaitumia kwa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Viongozi wa Serikali au wa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) hasa pale 'Wakiteuliwa' mngeitumia Kuibua mambo ya Kimsongi kwa Wasikilizaji wenu mngekuwa na Faida kubwa sana.

Leo Asubuhi Watangazaji wa Kipindi hiki ( hicho ) kuanzia Mtani wangu wa Kihaya David Rwenyagira SIMTANK 1000Ltrs, Charles William na Yule Haji Manara wao ( Zungu ) wametumia karibia dakika 30 'Kumsifia' tu Katibu Mkuu mpya wa CCM Ndugu Chongolo kitu ambacho kiukweli 'Kimetuboa' Watu Makini wengi tusiopenda Upuuzi na Ushamba katika Taaluma.

Na hata Mtangazaji wenu mwingine Daud Hillary ( Zembwela Ndimu ) nae ana haka 'Kautamaduni' na nahisi leo Asubuhi angekuwepo 'Kipindini' basi angesifu mpaka hata angeomba kwenda Kumlamba Miguu yake.

Mtani wangu David Rwenyagira na huyo Dogo Charles William mlipokuwa East Africa Radio mlikuwa very Critical and Objective katika 'Uwasilishaji' wenu ila sijui ni nini kimekumba na kuwabadilisheni huko mliko sasa.

Halafu kuna 'Sumu' moja mbaya mno nimeiona taratibu inaanza 'Kukolea' hapo Wasafi FM Radio hasa ya kuonyesha wazi wazi kuwa nyie ni typical Pro Government and Pro CCM huku 'Content' nyingi za kuhusu Upinzani na Wapinzani nchini mkiwa 'mnaziwasilisha' katika hali ya Unafiki na Kebehi fulani hivi.

Na hapa GENTAMYCINE wala sisemi kuwa kama Serikali ( kupitia Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ) na Chama chake Tawala ( CCM ) kikiwa kimefanya Jambo very positive msiwasifie ila itapendeza mkiwa fair kwa Kufanya hivyo hata kwa Wanasiasa Wapinzani na Vyama vyao pia kwakuwa Audience ya Wasafi FM Radio siyo tu Rais Mheshimiwa Mama Samia na wana CCM tu pekee bali wapo ( tupo ) hata Sisi tulio 'Neutral' na Wafuatiliaji wa Masuala Mtambuka ( Current Affairs ) za ndani na nje ya Tanzania.

Kilichonishtua sana na Kunisikitisha mno tu ni kwamba Watangazaji wote hawa ( hao ) waliokuwa 'Wakijikomba' hivyo ni wa 'Kiume' na sijajua kwa Watoto wa Kiume ' Kujikomba' vile kwa Mwanaume Mmoja tu Katibu Mkuu mpya wa CCM wanamtaka nini Baba wa Watu.

Radio yenu ni nzuri sana na ina Watangazaji wazuri, makini na wenye 'Mvuto' pia ila GENTAMYCINE nawaomba badilikeni ili 'tuwapendeni' zaidi. Na mkiona hadi leo 'nimewasilibeni' hivi jueni kuwa nawapenda na kuwakubali halafu sijataka 'Unafki' wa kuwaficheni katika kuwapeni huu ukweli ili 'mjisahihishe' kwa faida ya Sisi Wasikilizaji wenu.

Naamini tu 'Dozi' yangu hii itawabadili!!!
hasa hasa lile tipwa tipwa na kale ka mswaki
 
Huko mwanzo nilipokuwa nikiwasikia nikadhani labda mtajirekebisha nayo kwani hata Clouds FM na Clouds tv 360 walikuwa na 'Upuuzi' huu ila sasa naona nanyi mmeuiga 'Utamaduni' huu.

Hii Nguvu ambayo Watangazaji wa Kipindi cha Asubuhi cha Wasafi FM mnaitumia kwa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Viongozi wa Serikali au wa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) hasa pale 'Wakiteuliwa' mngeitumia Kuibua mambo ya Kimsongi kwa Wasikilizaji wenu mngekuwa na Faida kubwa sana.

Leo Asubuhi Watangazaji wa Kipindi hiki ( hicho ) kuanzia Mtani wangu wa Kihaya David Rwenyagira SIMTANK 1000Ltrs, Charles William na Yule Haji Manara wao ( Zungu ) wametumia karibia dakika 30 'Kumsifia' tu Katibu Mkuu mpya wa CCM Ndugu Chongolo kitu ambacho kiukweli 'Kimetuboa' Watu Makini wengi tusiopenda Upuuzi na Ushamba katika Taaluma.

Na hata Mtangazaji wenu mwingine Daud Hillary ( Zembwela Ndimu ) nae ana haka 'Kautamaduni' na nahisi leo Asubuhi angekuwepo 'Kipindini' basi angesifu mpaka hata angeomba kwenda Kumlamba Miguu yake.

Mtani wangu David Rwenyagira na huyo Dogo Charles William mlipokuwa East Africa Radio mlikuwa very Critical and Objective katika 'Uwasilishaji' wenu ila sijui ni nini kimekumba na kuwabadilisheni huko mliko sasa.

Halafu kuna 'Sumu' moja mbaya mno nimeiona taratibu inaanza 'Kukolea' hapo Wasafi FM Radio hasa ya kuonyesha wazi wazi kuwa nyie ni typical Pro Government and Pro CCM huku 'Content' nyingi za kuhusu Upinzani na Wapinzani nchini mkiwa 'mnaziwasilisha' katika hali ya Unafiki na Kebehi fulani hivi.

Na hapa GENTAMYCINE wala sisemi kuwa kama Serikali ( kupitia Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ) na Chama chake Tawala ( CCM ) kikiwa kimefanya Jambo very positive msiwasifie ila itapendeza mkiwa fair kwa Kufanya hivyo hata kwa Wanasiasa Wapinzani na Vyama vyao pia kwakuwa Audience ya Wasafi FM Radio siyo tu Rais Mheshimiwa Mama Samia na wana CCM tu pekee bali wapo ( tupo ) hata Sisi tulio 'Neutral' na Wafuatiliaji wa Masuala Mtambuka ( Current Affairs ) za ndani na nje ya Tanzania.

Kilichonishtua sana na Kunisikitisha mno tu ni kwamba Watangazaji wote hawa ( hao ) waliokuwa 'Wakijikomba' hivyo ni wa 'Kiume' na sijajua kwa Watoto wa Kiume ' Kujikomba' vile kwa Mwanaume Mmoja tu Katibu Mkuu mpya wa CCM wanamtaka nini Baba wa Watu.

Radio yenu ni nzuri sana na ina Watangazaji wazuri, makini na wenye 'Mvuto' pia ila GENTAMYCINE nawaomba badilikeni ili 'tuwapendeni' zaidi. Na mkiona hadi leo 'nimewasilibeni' hivi jueni kuwa nawapenda na kuwakubali halafu sijataka 'Unafki' wa kuwaficheni katika kuwapeni huu ukweli ili 'mjisahihishe' kwa faida ya Sisi Wasikilizaji wenu.

Naamini tu 'Dozi' yangu hii itawabadili!!!
Kulee barafuni mapua 1 alituambia watu wa aina hii vina7 ndio vinawasumbua yaani wana elements za kichawi. Aliyasema hayo wakati akimtoa show jamaa kutoka nchi ya Mali.
 
Back
Top Bottom