GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
"Nchi nyingi Siku hizi tena zilizoendelea kama ninayosafiri sana ya Netherlands na nyinginezo zinaruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Raia wake wanapotaka sioni sababu ya Tanzania kuzuia wakati Bangi nayo ni Burudani na ina Starehe yake" amesema Mtangazaji wa Wasafi FM Zembwela (Hillary Daud) akiwa Nyumbani kwa Spika wa Bunge na Watangazaji Wenzake ambako kwa Asubuhi ya Leo wanafanyia Kipindi hapo.
Kwa GENTAMYCINE ninayemjua ndani nje Zembwela tokea akiwa Comedian na Rafiki yake Marehemu Max, alipokuwa East Africa Radio na East Africa Tv na Mitaani Sinza, Tandale, Mwenge na Magomeni na nini hasa anachokitumia ndiyo maana Macho yake 24/7 huwa ni Mekundu na Mdomo wake una Uweusi mwingi ngoja ninyamaze na niishie hapa tu.tafadhali.
TCRA Kazi Kwenu na Zembwela alivyo wa hovyo hovyo baada ya Awali katika Maelezo yake kutaka Watanzania tuvute Bangi muda si mrefu Kiunafiki kabisa ametengua hiyo Kauli na Kuzuga kwa kusema Tanzania hairuhusu Uvutaji wa Bangi.
Tafadhali achukuliwe hatua haraka pamoja na hiyo Redio ( Wasafi FM ) kwani kwa Kauli yake tu ya Awali kututaka Watanzania tuvute Bangi na Kuiomba Serikali iruhusu Uvutaji huo wa Bangi tena Hewani ( On Air ) imeleta Usumbufu na inaweza kupokelewa vibaya na tusiovuta Bangi hiyo akina GENTAMYCINE tukashawishika kuanza Kuivuta na Kulanduka nayo vilevile.
Kwa GENTAMYCINE ninayemjua ndani nje Zembwela tokea akiwa Comedian na Rafiki yake Marehemu Max, alipokuwa East Africa Radio na East Africa Tv na Mitaani Sinza, Tandale, Mwenge na Magomeni na nini hasa anachokitumia ndiyo maana Macho yake 24/7 huwa ni Mekundu na Mdomo wake una Uweusi mwingi ngoja ninyamaze na niishie hapa tu.tafadhali.
TCRA Kazi Kwenu na Zembwela alivyo wa hovyo hovyo baada ya Awali katika Maelezo yake kutaka Watanzania tuvute Bangi muda si mrefu Kiunafiki kabisa ametengua hiyo Kauli na Kuzuga kwa kusema Tanzania hairuhusu Uvutaji wa Bangi.
Tafadhali achukuliwe hatua haraka pamoja na hiyo Redio ( Wasafi FM ) kwani kwa Kauli yake tu ya Awali kututaka Watanzania tuvute Bangi na Kuiomba Serikali iruhusu Uvutaji huo wa Bangi tena Hewani ( On Air ) imeleta Usumbufu na inaweza kupokelewa vibaya na tusiovuta Bangi hiyo akina GENTAMYCINE tukashawishika kuanza Kuivuta na Kulanduka nayo vilevile.