peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,833
- 21,466
Jane pole Kwa msiba.Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana