Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,994
- Thread starter
- #181
nilishasimulia sana hapa.. Ila kwa ufupi ni kwamba wakati huo way back 2012 nadhani wakati huo kikijifanya kinaishi Canada, Nikakiambia acha uongo uko bongo na unaishi nyuma ya ofisi ndogo ya ccm Lumumba na ikaja kuthibitika ni kweli.. Faizafix wa Canada yuko bongo tena kwa kuhifadhiwa kwenye yale maghorofa chakavu@Mshana nje ya mada kidogo..
Hivi hicho kibibi ulikifanyaje enzi za ujana wake, mbona kakikuona kila mara kanapandisha maruhani?
Hapo alitimuliwa yuko mitaa ya kibiti ukipita Jaribu kabla ya kufika Bungu ana PI ya kuingia mataifa ya Schengen.. Alileta ujuaji wa kindezi huko akapigwa PI ya milele na Mchonga akaipigilia msumari. Ana chuki kubwa sana na Mchonga, ukristo na wakristo
Ni mstaafu wa Jangwani sekondari aliyemaliza mafao yake na kwasasa anaishi kwa hisani ya watu baki na kashamba kadogo ka mihoko huko nilikotaja
Una swali lingine?