Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
- Thread starter
- #21
Utakatifu walipewa na wazungu baada ya kuitumikia vyema miungu ya wazunguWatakatifu weusi wapo ila tatizo ni taarifa zao zinapatikanaje?
Utakatifu walipewa na wazungu baada ya kuitumikia vyema miungu ya wazunguWatakatifu weusi wapo ila tatizo ni taarifa zao zinapatikanaje?
Nenda kwenye jamii zao, hata leo matendo yao yakumbukwa vizazi na vizazi.Historia zilizo andikwa na wazungu
Wazunguhivi ni wakina nani wanao gawa huo utatifu jamani....???
kwa hyo wanakaa tu jopo flani la wazungu wanaamua tu "kuanzia leo bujibuji ni mtakatifu""!!!!!!Wazungu
Nafikiri tatizo lipo kwako wewe binafsi na sii imani ya ukristo.Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
Hivi huyo anaetoa dongo mpaka mtu kuitwa mwenye heri ye ni nani!Mwenye Heri Nyerere!
WazunguHivi huyo anaetoa dongo mpaka mtu kuitwa mwenye heri ye ni nani!
Yeskwa hyo wanakaa tu jopo flani la wazungu wanaamua tu "kuanzia leo bujibuji ni mtakatifu""!!!!!!
Hao ni watakatifu wa dini ya kimapokeo ya wazunguMbona wapo Watakatifu Waafrika - Josephine Bakhita, Karolilwanga na wenzake 22 wa Uganda, Mt. Augustino wa Hippo, n.k.
Na wewe anzisha dini yako.Hao ni watakatifu wa dini ya kimapokeo ya wazungu
Hawana watakatifu kwa sababu Kanisa lenye Mamlaka ya kutangaza watakatifu ni Kanisa Katoliki tu.Hivi kwanini KKKT hawana watakatifu?
Mashahidi wa Uganda?Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori