cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kwa yanayoendelea huko Mwanza ,CCM lazima itapokea baadhi ya makada watakao hama vyama vyao kujiunga CCM
Miongoni mwao ni Mzee Sumaye, hiki kikao lazima kitatangaza kumpokea mzee Sumaye na Lowasa atapokelewa rasmi
Na wengineo ni ....
Ongezea wengine ambao unahisi watatambulishwa huko Mwanza wakihama vyama vyao
Sent using Jamii Forums mobile app
Miongoni mwao ni Mzee Sumaye, hiki kikao lazima kitatangaza kumpokea mzee Sumaye na Lowasa atapokelewa rasmi
Na wengineo ni ....
Ongezea wengine ambao unahisi watatambulishwa huko Mwanza wakihama vyama vyao
Sent using Jamii Forums mobile app