Hivi hujamfahamu vzr huyo? Akili zake zinamtosha kuvukia barabara bila kugongwa basi. Akishavuka akili inasoma bettry lowNina uhakika hujaelewa mada inayo jadiliwa.
Hivi hujamfahamu vzr huyo? Akili zake zinamtosha kuvukia barabara bila kugongwa basi. Akishavuka akili inasoma bettry lowNina uhakika hujaelewa mada inayo jadiliwa.
Kwa hiyo tunategemea Halmashauri kuu ya CCM kumtangaza Membe kuwa mgombea wa urais CHADEMA au
Sent using Jamii Forums mobile app
Membe anamkosesha sana usingizi Meko
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Umemtaja Mara ngapi kwenye post yako ?Membe yupi? Huyu Membe aliyekula pesa ya mkopo wa serikali kutoka Libya? Huyu Membe ambaye wale jamaa aliowagawia pesa kidogo kutoka huo mkopo wa Libya (kina Balabou wa Morogoro) amewapeleka uhamishoni nje ya nchi ili wasichukuliwe hatua za kisheria? Halafu Membe huyo huyo eti leo amnyime mtu wa watu usingizi? Ni vizuri kujifariji lakini Membe sio tishio kwa kiongozi yeyote japo ana pesa nyingi ambazo anajua mwenyewe jinsi alivyozipata.
Kafue bwana, maana inaonekama hauko sawa!
huwezi kuyaelewaMbona sikuelewi wewe kila mara unaongea mambo siyaelewi
Are you okay?
Kwa yanayoendelea huko Mwanza ,CCM lazima itapokea baadhi ya makada watakao hama vyama vyao kujiunga CCM
Miongoni mwao ni Mzee Sumaye, hiki kikao lazima kitatangaza kumpokea mzee Sumaye na Lowasa atapokelewa rasmi
Na wengineo ni ....
Ongezea wengine ambao unahisi watatambulishwa huko Mwanza wakihama vyama vyao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm bana, kazi mnayo na mbowe lile pandikizi lenu Celia limeshtukiwa km mzee sumaye, mshindwe na mlegeeTundu Lissu mwaka kesho anajiunga na Chama tawala baada kugundua kile Chama kingine ni cha udikteta.
Sumaye ni zero. Wote tunajua. He is such a coward. Lowassa has two faces. The duo is unfit to lead. Ni wa kukwepa kama ukoma hawa jamaa! Hawafai kuwa viongozi.
acha kumsema vibaya lowasa weweSumaye ni zero. Wote tunajua. He is such a coward. Lowassa has two faces. The duo is unfit to lead. Ni wa kukwepa kama ukoma hawa jamaa! Hawafai kuwa viongozi.
Ikiwa alikula mlikuwa wapi kipindi hiko na alikuwa chama gani na alikuwa akifanya kazi ya nini?Membe yupi? Huyu Membe aliyekula pesa ya mkopo wa serikali kutoka Libya? Huyu Membe ambaye wale jamaa aliowagawia pesa kidogo kutoka huo mkopo wa Libya (kina Balabou wa Morogoro) amewapeleka uhamishoni nje ya nchi ili wasichukuliwe hatua za kisheria? Halafu Membe huyo huyo eti leo amnyime mtu wa watu usingizi? Ni vizuri kujifariji lakini Membe sio tishio kwa kiongozi yeyote japo ana pesa nyingi ambazo anajua mwenyewe jinsi alivyozipata.
Wengine watakao hamia Ni hawapaKwa yanayoendelea huko Mwanza ,CCM lazima itapokea baadhi ya makada watakao hama vyama vyao kujiunga CCM
Miongoni mwao ni Mzee Sumaye, hiki kikao lazima kitatangaza kumpokea mzee Sumaye na Lowasa atapokelewa rasmi
Na wengineo ni ....
Ongezea wengine ambao unahisi watatambulishwa huko Mwanza wakihama vyama vyao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa alikula mlikuwa wapi kipindi hiko na alikuwa chama gani na alikuwa akifanya kazi ya nini?
Yamekuja hayo kwa sababu yupo tofauti na mawazo yenu jee angekuwa hayupo tofauti na mawazo yenu ungeandika utumbo huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahaha umetisha
Membe ni CCM anagombeaje Chadema?Membe kuwa mgombea wa Urais chadema