Tetesi: Watakao tambulishwa kuhama vyama kujiunga CCM hawa hapa

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,311
7,494
Kwa yanayoendelea huko Mwanza ,CCM lazima itapokea baadhi ya makada watakao hama vyama vyao kujiunga CCM

Miongoni mwao ni Mzee Sumaye, hiki kikao lazima kitatangaza kumpokea mzee Sumaye na Lowasa atapokelewa rasmi

Na wengineo ni ....

Ongezea wengine ambao unahisi watatambulishwa huko Mwanza wakihama vyama vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sumaye ni zero. Wote tunajua. He is such a coward. Lowassa has two faces. The duo is unfit to lead. Ni wa kukwepa kama ukoma hawa jamaa! Hawafai kuwa viongozi.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom