Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Na sio tu kufananishwa, mtu anatumia nguvu kubwa kujiaminisha wewe ni mimi, mimi ni wewe? Na matusi juu? Vitisho? What for?

Au sababu tunaandika good writting? Me sioni sababu nyingine wallah..
Ukiandika comment inanyooka hiviii rula ikasome 😆 space inazingatiwa, aya zipo na alama za mikato ziko on point 👌

Mjukuu wa Mwandambo nimechokaaa🔥
Kuna mahali nilisemwa mimi na huyo huyo dada ako ati nme team up na Binti wa Zamani. Wakati huyo dada simjuiii ni ile mwanzoni wakati anaandika nyuzi alikuwa ananimention najitokeza kucomment..

Ah bana.. masaa yanakaribia ya Rosary
Wacha niende
Vidole visije kuteleza nikajikuta naandika ma
Paragraph hapa, nikakosana na Malaika mlinzi wangu 🔥🔥
Ohooooo alisema ndio na mwandiko wangu haujabadilika heheheh

Kuna mwingine namtunza nae alikuja PM asema et nimebadili I'd na alikua analazimisha ila alitaja jina lingineeee


Shoga najiunganisha na baraka zako
Nataka toto moja la mama mkwe lini lilieeeee kama hivyo unavyolilia 👌

Huyo BFF wa mtu ingenijua angeishiwa power 🤣 ngoja nika selfike 🔥🔥
 
Babu unaweza kuchimbua kisima mpka tupate maji kweli
Au unapendelea kilimo cha bamia tupate mrenda mrenda 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Kweli vijana wanafaidi 😋

Umefanya nitembee mkono nikiweka mfukoni kukwepa aibu ndogondogo

Jembe langu ni la mwaka 47, nalimia tifutifu, kichanga hata kwenye mfinyanzi

Koh koh koh......kiko hii ya leo itaniua sio kwa ukali huu 😊
 
Kweli vijana wanafaidi 😋

Umefanya nitembee mkono nikiweka mfukoni kukwepa aibu ndogondogo

Jembe langu ni la mwaka 47, nalimia tifutifu, kichanga hata kwenye mfinyanzi

Koh koh koh......kiko hii ya leo itaniua sio kwa ukali huu 😊
Hebu tafuna pipi kifua then puliza kwenye kicwa huo ubaridi wake kikohozi kilichotokana na kiko lazima final kitiiiii✅️
 
😂 😂 Ngoja kabinti kakupandishe kisukari kidogo
Kuna haja nitembee na dawa zangu za kisukari, nilimsikia sehemu akisema hajazoea round moja ya sekunde 29, anasema hadi cheche ziwake.....naona dalili ya kushindwa pambano 😜
Aaaanh mimi kukumbushia sitaki
Kuwa na huruma na wazee mjukuu 😊
Atakuletea, msemeshe mjukuu vizuri akupe mambo babu urudishwe ujanani 😂
Hapa naelekea atm, huenda ugonjwa wangu wa baridi leo ukaondoka 😋
 
Nitaiunganisha usijali..!!

Hili bana haliwezi kuisha hivi hivi, kwanza kuna screenshot nimepewa nasikia ulikanywa kunikwoti lamomy.. Huyo fake yeye km nani akukanye kuhusu mimi??

Yani Fake P njoo hapa utoe maelezo vizuri kilikuuma nini mpk ukatoa ushauri??

Hili nnalo coz mmenitaja na mnipe maelezo wote..!!
Hailijaisha mpaka likiisha 😂

Diana Prince Popcorn GIF.gif
 
Kuna mahali nilisemwa mimi na huyo huyo dada ako ati nme team up na Binti wa Zamani. Wakati huyo dada simjuiii ni ile mwanzoni wakati anaandika nyuzi alikuwa ananimention najitokeza kucomment..
Eti, kwamba nini 😂?? kumbe wengi tunatajwa bila kujijua 😂

giphy 12.GIF
 
Nipitishie kiko nyingine mjukuu, si unajua baridi ni kali 😂

Mimi na bibi yako tunakukumbuka sana mjukuu
Kikohozi hakijapona unataka kiko tena 🤣 kwanza umejaribu kupulizia upepo & ubaridi wa hiyo pipi🤣
Unajisikiaje now


Mna kaa wapi wewe na bibi nasikia mmeuza nyumba mme hama
 
Mbona hakuna lock hebu jaribu kusukuma uone🤣
Najaribu, siwezi kuingia PM 😂 😂

Hebu tafuna pipi kifua then puliza kwenye kicwa huo ubaridi wake kikohozi kilichotokana na kiko lazima final kitiiiii✅️
Hata akifa, ata-die with a smile 😂😂😂
Kanyaga mafuta, huruma atapewa kwa mkewe bibi yetu 😂
 
Hapana kwa kweli, wanawake matured ni watam sana mkuu. Aliyezaliwa miaka 34 iliyopota kurudi nyuma hanifai.
Kumekucha
Umeamua kuja na matusi alooo😢
Kwahiyo sisi wachungu ?😭
Umeonja wa ngapi babu ?😎
 
Back
Top Bottom