Huogopi shaba 🔫😁Kama umetoa Go ahead hicho kibibi kikae kando tuwashe moto🔥🔥🔥
Nimesikia unaweza kunisaidia kurudia enzi za mwaka 47Kama umetoa Go ahead hicho kibibi kikae kando tuwashe moto🔥🔥🔥
Ila vibabu 😂Joto la wajukuu ndiyo zuri, nionee huruma babu yenu
Akuu mi pumzi ninayoitaka hauna mzee mwenzanguHutaki kupata taste ya mwaka 47, ufundi mwingi wenye kuacha kumbukumbu
Nimekupa binti ShesRise_1 najua imekaa kimasikhara but hili jambo ni serious 😎.Hahaha.......basi safari ya kuniletea kiko na ianze, babu yenu nitakufa kwa baridi 😋
Wacha nianze kufanya maandalizi....wazee hatuna papara 😂Babu anakuja tulia kwanza tumalize hii kesi 😹😹😹
Thank you, ila hiyo pole iunganishe kwenye Novena huko usalipo na Mungu atakubariki sana..😹😹😹😹 Mama la mama igweeeeeee
Wee mtoto unawanyima raha sana mashangazi humu..!!
Kwanza D pole kwa msiba 😥
Sasa turudi kwenye jambo letu, kwani fake anaumia nini mpk anakufatiia namna hiyo km kakuzaa vile??
Mahi unipe namba za mganga wako una balaa sana wewe wanaume wanalia km vichaa na wanawake wanapagawa km wana mapepo khaaaa..!! 😹😹😹
Hatukubali hadi tufie kwenye vinena 😂Ila vibabu 😂
Siku moja moja inapendeza kukumbushia enzi....Vya kale dhahabu 😜Akuu mi pumzi ninayoitaka hauna mzee mwenzangu
Hahaha..........ataweza kuniletea kiko? 😂Nimekupa binti ShesRise_1 najua imekaa kimasikhara but hili jambo ni serious 😎.
Siogopi darling but I'm in love with you najiuliza why tumefananishwa?Huogopi shaba 🔫😁
😁😁 Pole mwayaShoga unaonekana tishio naomba tuwe marafiki kwa mbali tu
Maaana vita yako nimeipigana vilivyo
Mpka unakuja nilikua nimefanya kazi kubwa 👌
Huhuhuhu👌👌😋😋😋💦Nimesikia unaweza kunisaidia kurudia enzi za mwaka 47
Umefanya udenda unitoke 😋
Weuweee🔥🔥🔥Nimekupa binti ShesRise_1 najua imekaa kimasikhara but hili jambo ni serious 😎.
Nitaiunganisha usijali..!!Thank you, ila hiyo pole iunganishe kwenye Novena huko usalipo na Mungu atakubariki sana..
Hayo mengine sijasoma
Sitaki chuki mpya mjini 😁
Nimepoa ila kazi nimeifanya nipongezwe kwa wivu mkubwa😁😁 Pole mwaya
Ulikutana na bipolar za kijf..
ShikamooMimi na Atoto wangu tumeshavuka huko, ngoja anilee nizeeke kwa amani jamani😅
Imekuuma kutajwa ?🤣🤣Nitaiunganisha usijali..!!
Hili bana haliwezi kuisha hivi hivi, kwanza kuna screenshot nimepewa nasikia ulikanywa kunikwoti lamomy.. Huyo fake yeye km nani akukanye kuhusu mimi??
Yani Fake P njoo hapa utoe maelezo vizuri kilikuuma nini mpk ukatoa ushauri??
Hili nnalo coz mmenitaja na mnipe maelezo wote..!!
Marahaba mjukuu!Shikamoo
Kweli vijana wanafaidi, kumbe hadi kilimo cha umwagiliaji kinafanyika😋😋Huhuhuhu👌👌😋😋😋💦
Wananitaja vipi hafu ni muda huko ila yameibuliwa leo..!!Imekuuma kutajwa ?🤣🤣
Na sio tu kufananishwa, mtu anatumia nguvu kubwa kujiaminisha wewe ni mimi, mimi ni wewe? Na matusi juu? Vitisho? What for?Siogopi darling but I'm in love with you najiuliza why tumefananishwa?