MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,867
- Thread starter
- #81
Vitu vingine ubishi tu ...piga CPA hadi mwisho then uje hapa useme kama uelewa wako ni ule ule ....pamoja na baadhi ya mapungufu mengine lakini ukimchukua mtu aliyetoka chuo tu na hana CPA na mtu ambaye katoka chuo na kusoma CPA direct levels zao uelewa ni mbingu na nchi .....mtu ambaye hana CPA lakini yuko vizuri ni very exceptional hasa experience lakini mtu huyo kama angepiga na CPA ingekuwa zaidi.