mkojo wa bhange
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 560
- 639
Naona umekuja kumpigia DEBE neema msusa...goma lako nini? Nani kakuambia serikali huwa inateua wachaga/ wapare/ waarusha kwenye nafasi nzito kama hizo? Angekuwa kanda ya ziwa zamani sana angeshateuliwa.Si ateuliwe kichwa Neema Kiure Msusa tusonge ....
Punguza mahaba niuwe kuanzisha uzi wa kumpigia debe mkeo au goma lako ili upate ulaji wa fyemilii...tazama maslahi mapana ya taifa.