Wataalamu wa photoshop na digital painting msaada wenu tafadhali.

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Nov 4, 2020
1,331
2,243
Wakuu habari ya nyie kuna hii picha hapa nahitaji kujua namna kuedit kama hivyo, mimi naishia kuweka strokes tu, lakini sijawahi fikia hii level ya hizi cartoon, labda mnipe muongozo ni technique gani hii jina lake ili nifatilie youtube make ukitafuta kwa cartoon za kawaida haiji.

IMG_20220521_082731.jpg
 
Hii unatengeneza kwa Photoshop ama hata paint ya kawaida sema kwa level hizi za Detail mkuu ni kipaji cha Uchoraji, hapo hata utumie software mia, kama huna kipaji hupati hio output.

Naweza kukuelekeza namna ya kutoa picha na kupata sketch, ila kupaka hio rangi ya ngozi na hizo light utamaliza mwenyewe.
 
Hii unatengeneza kwa Photoshop ama hata paint ya kawaida sema kwa level hizi za Detail mkuu ni kipaji cha Uchoraji, hapo hata utumie software mia, kama huna kipaji hupati hio output.

Naweza kukuelekeza namna ya kutoa picha na kupata sketch, ila kupaka hio rangi ya ngozi na hizo light utamaliza mwenyewe.
Endelea mkuu nakusikiliza asee.
 
Wakuu habari ya nyie kuna hii picha hapa nahitaji kujua namna kuedit kama hivyo, mimi naishia kuweka strokes tu, lakini sijawahi fikia hii level ya hizi cartoon, labda mnipe muongozo ni technique gani hii jina lake ili nifatilie youtube make ukitafuta kwa cartoon za kawaida haiji.

View attachment 2232637
Mpaka nmecheka, hii mbona ni simple sn, hii picha cjui cartoon kwanza imetengenezwa kwa app ya cm na aina hii za cartoon znaitwa smudge painting ni aina flan hv za painting ambazo mi hua naziita sio full cartoon. Yaan znatrick flan hv ambazo mchoraji huangaiki sn kuzichora. Yaan unatumia rangi za picha husika kufanya smudge ili huo muonekano utokee although inabd uanze kwanza kufanya sketch. Km una deal na graphx designing bas itakua rahisi kunielewa ila km mgen heb fanya tutorials kwanza za kuchora chora sketches then ndo uje kwny painting!.
Halaf kingne (japo sio kwa umuhimu) huyo aliechora hiyo picha namjua!.
 
Mpaka nmecheka, hii mbona ni simple sn, hii picha cjui cartoon kwanza imetengenezwa kwa app ya cm na aina hii za cartoon znaitwa smudge painting ni aina flan hv za painting ambazo mi hua naziita sio full cartoon. Yaan znatrick flan hv ambazo mchoraji huangaiki sn kuzichora. Yaan unatumia rangi za picha husika kufanya smudge ili huo muonekano utokee although inabd uanze kwanza kufanya sketch. Km una deal na graphx designing bas itakua rahisi kunielewa ila km mgen heb fanya tutorials kwanza za kuchora chora sketches then ndo uje kwny painting!.
Halaf kingne (japo sio kwa umuhimu) huyo aliechora hiyo picha namjua!.
Kufanya hiyo smudge nayo sio kazi rahisi sana kiivyo kama sema hapo mkuu
 
Mpaka nmecheka, hii mbona ni simple sn, hii picha cjui cartoon kwanza imetengenezwa kwa app ya cm na aina hii za cartoon znaitwa smudge painting ni aina flan hv za painting ambazo mi hua naziita sio full cartoon. Yaan znatrick flan hv ambazo mchoraji huangaiki sn kuzichora. Yaan unatumia rangi za picha husika kufanya smudge ili huo muonekano utokee although inabd uanze kwanza kufanya sketch. Km una deal na graphx designing bas itakua rahisi kunielewa ila km mgen heb fanya tutorials kwanza za kuchora chora sketches then ndo uje kwny painting!.
Halaf kingne (japo sio kwa umuhimu) huyo aliechora hiyo picha namjua!.
kwenye sketching sio mgeni, we nipe details za kufanya hio painting ndo msala ulipo mkuu, au unaweza ukanirecommendia tutorial kama alivyofanya hapo chief.
 
kwenye sketching sio mgeni, we nipe details za kufanya hio painting ndo msala ulipo mkuu, au unaweza ukanirecommendia tutorial kama alivyofanya hapo chief.
Mkuu, ungekua makini tayar ungekua ushaelewa mana nmetaja hapo juu aina hyo ya painting inaitwa smudge painting. So just ingia yutube type hiyo key word tutorials ziko nying sn ushindwe wewe tu na aina ya software yako unayotumia.

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari ya nyie kuna hii picha hapa nahitaji kujua namna kuedit kama hivyo, mimi naishia kuweka strokes tu, lakini sijawahi fikia hii level ya hizi cartoon, labda mnipe muongozo ni technique gani hii jina lake ili nifatilie youtube make ukitafuta kwa cartoon za kawaida haiji.

View attachment 2232637
Cha muhimu hapo mkuu ni uwekeze kwenye drawing tablet nzuri, cha pili ni ujue kustudy hizi art/illustration.

Kwanza, picha kama hii imechorwa kwa kutumia reference photo, pia halisi inakuwa imported kwenye artboard then mchoraji anakuwa anatrace sketch kwa kutumia drawing tablet. Ni muhimu kuwa na drawing tablet kwa sababu itasaidia kuchora details halisi hasa kwenye nywele.
Pili, baada ya sketch yako unaweza kusample rangi zote zilizopo kwenye picha halisi na ukazitenga pembeni(hii ni kwa beginners) . Rangi zote kuanzia nywele, lips, ngozi, highlights na shadows (ingawa shadows ni rangi ya ngozi iliyofifia kidogo.)
Tatu, unaanza kuapply rangi kwenye sehemu husika, utaanza na ngozi, na sehemu muhimu, then utafuata kwenye shadows na mwisho kabisa ni highlights.

NB: Maelezo haya ni kwa mtu asiyejua kuchora kabisa. Unahitaji kuwa na subira maana wakati unaanza kuchora hutaweza kunotice mabadiliko lakini art ikishamalizika ndiyo utagundua umeenda kiasi gani.

Mcheck jamaa youtube anaitwa ChiWorld1234 anatutorials ambazo zitakuwa walkthrough ya uchoraji wa digital art mwanzo mpaka mwisho.

Hii ni moja ya kazi za Chiworld1234

FF383362-D591-4C06-B764-FD05F3998291.jpeg
 
Cha muhimu hapo mkuu ni uwekeze kwenye drawing tablet nzuri, cha pili ni ujue kustudy hizi art/illustration.

Kwanza, picha kama hii imechorwa kwa kutumia reference photo, pia halisi inakuwa imported kwenye artboard then mchoraji anakuwa anatrace sketch kwa kutumia drawing tablet. Ni muhimu kuwa na drawing tablet kwa sababu itasaidia kuchora details halisi hasa kwenye nywele.
Pili, baada ya sketch yako unaweza kusample rangi zote zilizopo kwenye picha halisi na ukazitenga pembeni(hii ni kwa beginners) . Rangi zote kuanzia nywele, lips, ngozi, highlights na shadows (ingawa shadows ni rangi ya ngozi iliyofifia kidogo.)
Tatu, unaanza kuapply rangi kwenye sehemu husika, utaanza na ngozi, na sehemu muhimu, then utafuata kwenye shadows na mwisho kabisa ni highlights.

NB: Maelezo haya ni kwa mtu asiyejua kuchora kabisa. Unahitaji kuwa na subira maana wakati unaanza kuchora hutaweza kunotice mabadiliko lakini art ikishamalizika ndiyo utagundua umeenda kiasi gani.

Mcheck jamaa youtube anaitwa ChiWorld1234 anatutorials ambazo zitakuwa walkthrough ya uchoraji wa digital art mwanzo mpaka mwisho.

Hii ni moja ya kazi za Chiworld1234

View attachment 2236884
mkuu barikiwa sana kwa kweli nashukuru kwa Mwongozo.
 
Cha muhimu hapo mkuu ni uwekeze kwenye drawing tablet nzuri, cha pili ni ujue kustudy hizi art/illustration.

Kwanza, picha kama hii imechorwa kwa kutumia reference photo, pia halisi inakuwa imported kwenye artboard then mchoraji anakuwa anatrace sketch kwa kutumia drawing tablet. Ni muhimu kuwa na drawing tablet kwa sababu itasaidia kuchora details halisi hasa kwenye nywele.
Pili, baada ya sketch yako unaweza kusample rangi zote zilizopo kwenye picha halisi na ukazitenga pembeni(hii ni kwa beginners) . Rangi zote kuanzia nywele, lips, ngozi, highlights na shadows (ingawa shadows ni rangi ya ngozi iliyofifia kidogo.)
Tatu, unaanza kuapply rangi kwenye sehemu husika, utaanza na ngozi, na sehemu muhimu, then utafuata kwenye shadows na mwisho kabisa ni highlights.

NB: Maelezo haya ni kwa mtu asiyejua kuchora kabisa. Unahitaji kuwa na subira maana wakati unaanza kuchora hutaweza kunotice mabadiliko lakini art ikishamalizika ndiyo utagundua umeenda kiasi gani.

Mcheck jamaa youtube anaitwa ChiWorld1234 anatutorials ambazo zitakuwa walkthrough ya uchoraji wa digital art mwanzo mpaka mwisho.

Hii ni moja ya kazi za Chiworld1234

View attachment 2236884
Kwa kuongezea, even without drawing tablet hizi painting znafanyika. ckuiz mobile gfx designing industry inakua sn. Akiwa na simu km za Samsung note series yoyote ile anaweza kutoa kitu km hiki sabab aina hz za cm znakuja na ka pen, km ka stick flan hv kwa kufanya drawings km hz. Na software (apps) za kufanya hv ziko kibao playstore.
 
Kwa kuongezea, even without drawing tablet hizi painting znafanyika. ckuiz mobile gfx designing industry inakua sn. Akiwa na simu km za Samsung note series yoyote ile anaweza kutoa kitu km hiki sabab aina hz za cm znakuja na ka pen, km ka stick flan hv kwa kufanya drawings km hz. Na software (apps) za kufanya hv ziko kibao playstore.
You right bro.
 
Back
Top Bottom