☑️ "I was [your age] years old when I found out...""I was today years old when I found out
Why...🤔Haiko sawq
Ebu pitia avatar yangu then imagine ndio nimeongea mimi hapa..😊Kwanza nani kaitamka?
Maana kuna kauli zinakuwaga sahihi duniani kutokana tu na haiba ya mzungumzaji husika.
Zipo sentensi ambazo ni sahihi kisarufi, lakini zina makosa kwa sababu tu aliyeitamka hakidhi vigezo kadha wa kadha vya hadhi inayokubalika katika jamii.
Upo sahihi!Hivyo vingereza ni vya wale mnawaita "native speaker", ukivitumia kwetu huku utazua taharuki
Kiswahili na Kiingereza havichangamani, hivyo si sahihi."I was today years old when I found out Babu wa Kitaa na Country Boy ni mtu na kaka yake".
Kumekuwa na mabishano kuwa hiyo sentence hapo juu ni sio sawa na wengine wanasema ipo sawa.
Wajuzi miongozo yenu inahitajika.
Very perfect"I was today years old when I found out Babu wa Kitaa na Country Boy ni mtu na kaka yake".
Kumekuwa na mabishano kuwa hiyo sentence hapo juu ni sio sawa na wengine wanasema ipo sawa.
Wajuzi miongozo yenu inahitajika.
Usifanye masahihisho yoyote. Sentensi ile iko sawa kabisa; haihitaji ubishi.☑️ "I was [your age] years old when I found out..."
☑️ "Today, I was [your age] years old when I found out..."