Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 2,749
- 5,827
Uchumi: Marehemu Dr Mgimwa huyu ndio mchumi pekee ambae alikuwa very analytical kwa mazingira yetu on how to apply theories to fit our environment and propel growth. Bahati mbaya hiyo speech yake iliyonigusa siioni tena YouTube.
Banking: Dr Kimei amebobea kwenye finance (you do know banks sell financial products) without going into details huyu mtu ana uelewa how financial economy works.
Dorothy Gwajima management ya afya kwa Tanzania hana mpinzani.
Yupo lecture mmoja wa UDSM mbobezi wa maswala ya elimu nilimsikia enzi zile Star TV wapo live in 2010 (this guy was special katika watu wote Tanzania niliowahi kuwasikiliza kama wataalamu huyu alikuwa level nyingine; natamani ningelikumbuka jina lake).
Wakurugenzi kadhaa wa wizara ukiwasikiliza hawa watu ni very technical kushinda makatibu wakuu tells you kuna shida kwenye teuzi; hawa wengi ndio qualified kuwa makatibu wakuu wa wizara.
Waliobaki halafu wanajisifu viwango vya ujinga kwa vitu wanavyoongea is beyond me.
Banking: Dr Kimei amebobea kwenye finance (you do know banks sell financial products) without going into details huyu mtu ana uelewa how financial economy works.
Dorothy Gwajima management ya afya kwa Tanzania hana mpinzani.
Yupo lecture mmoja wa UDSM mbobezi wa maswala ya elimu nilimsikia enzi zile Star TV wapo live in 2010 (this guy was special katika watu wote Tanzania niliowahi kuwasikiliza kama wataalamu huyu alikuwa level nyingine; natamani ningelikumbuka jina lake).
Wakurugenzi kadhaa wa wizara ukiwasikiliza hawa watu ni very technical kushinda makatibu wakuu tells you kuna shida kwenye teuzi; hawa wengi ndio qualified kuwa makatibu wakuu wa wizara.
Waliobaki halafu wanajisifu viwango vya ujinga kwa vitu wanavyoongea is beyond me.