Ukufunzi wa Vyuo vya Walimu vya Diploma na Certificate

Kikwava

JF-Expert Member
Sep 6, 2015
1,121
527
Mtaala mpya unapendekeza Walimu wa vyuo vya Kati vya ualimu wawe na shahada ya Pili (master degree) ya Elimu je utekelezaji wake umeshaanza?

Je wale ambao wapo mpaka Sasa vyuoni na hawana sifa hzo utaratibu wake upoje? Je mwl akiwa na sifa hzo tajwa ili ajiunge kwenye vyuo hivyo utaratibu wake upoje.

NAOMBA MWENYE UELEWA ATUPE ELIMU KIDOGO NA KUTUPA MWANGA ZAIDI
 
Mtaala mpya unapendekeza Walimu wa vyuo vya Kati vya ualimu wawe na shahada ya Pili (master degree) ya Elimu je utekelezaji wake umeshaanza?

Je wale ambao wapo mpaka Sasa vyuoni na hawana sifa hzo utaratibu wake upoje? Je mwl akiwa na sifa hzo tajwa ili ajiunge kwenye vyuo hivyo utaratibu wake upoje.

NAOMBA MWENYE UELEWA ATUPE ELIMU KIDOGO NA KUTUPA MWANGA ZAIDI
Maana yake warudi shule wakaongeze elimu.Ushindani wa sasa wa kielimu,utabakije na kiwango kidogo cha elimu kazini kwa muda mrefu.Ukiona kila mtu anahangaika na kuongeza kiwango chake cha elimu pamoja na majukumu mazito waliyonayo,jua yajayo yanafurahisha...!Hivyo ni kujiongeza na kutengeneza defence either ya ajira,heshima,mshahara...!
 
Maana yake warudi shule wakaongeze elimu.Ushindani wa sasa wa kielimu,utabakije na kiwango kidogo cha elimu kazini kwa muda mrefu.Ukiona kila mtu anahangaika na kuongeza kiwango chake cha elimu pamoja na majukumu mazito waliyonayo,jua yajayo yanafurahisha...!Hivyo ni kujiongeza na kutengeneza defence either ya ajira,heshima,mshahara...!
Upo sahh kabisa Comrade, Elimu ndogo ni sumu
 
Maana yake warudi shule wakaongeze elimu.Ushindani wa sasa wa kielimu,utabakije na kiwango kidogo cha elimu kazini kwa muda mrefu.Ukiona kila mtu anahangaika na kuongeza kiwango chake cha elimu pamoja na majukumu mazito waliyonayo,jua yajayo yanafurahisha...!Hivyo ni kujiongeza na kutengeneza defence either ya ajira,heshima,mshahara...!
Hapo kwenye kurudi shule hapo ndo balaa
 
Ni maamuzi tu boss...!Wapo wakufunzi wanafundisha vyuo vikuu wanaitwa lecturers,wengi wao utakuta ni PhD holders na professors.Wengi wao walijiongeza kielimu.Mfano kuna lecturer mmoja kwa wale waliopita UDOM watamfahamu,anaitwa Dr.Mwakasege.Huyu anafundisha masomo mbalimbali chuoni hapo,mimi amenifundisha LG pale College of Informatics and virtual education (CIVE).Kuna wakati alitupa historia yake ya kusoma na kuajiriwa.Yeye aliajiriwa shule ya msingi akiwa certificate ya ualimu wa shule ya msingi.Lakini hakutosheka hivyo akazidi kupambana na kuongeza elimu ambayo inamfanya kuwa pale alipo.Yule bwana ni mlemavu wa miguu kwa wanao mfahamu,lakini haikumzuia kufika pale alipo leo.

Dr.Mwakasege,nimemtumia kama reference ili tuelewe kwamba tusitosheke na elimu tulizonazo hasa katika ulimwengu wa leo ambao kila mtu ni msomi.Pia tuliona wakati wa hayati magufuri,kuna walimu walitolewa shule za advance na secondary wakaletwa shule za msingi wakiwa bachelor na diploma holders bila kushusha viwango vyao vya mishahara.Hiyo ilikuwa ni wakeup call kwa walimu wale wenye cheti na viwango vidogo vya elimu.
Shukran sana kwa ufafanuzi na kutupa Elimu
 
Kwa nyongeza, mabadiriko hayo ni expected kabisa, inawezakanaje mkufunzi kuwa na degree pekee??
Nchi za wenzetu mkufunzi anapaswa kuwa na elimu ya ufundishaji zaid ya degree yak.
Unamfundisha mwanachuo namna ya kuandaa lesson plan akati wewe mwenyewe ni graduate wa accountant.
Wewe uliona wapi!?
 
Kabisa kujiendeleza ni muhimu hata kama utachelewa kupata manufaa ila lazima utayapata tu
 
Back
Top Bottom