Jamaa hatari sana huyuπ€£π€£π€£Umeona ee ππ
Jamaa hatari sana huyuπ€£π€£π€£Umeona ee ππ
Jiandae kwa ndoa sasa na mwanajeiefuWatu watakavyoikimbia comment namba 7 sasaππ
Ndoa itafanyika humu humu...ukumbi utakuwa jamii photos πππJiandae kwa ndoa sasa na mwanajeiefu
Ndoa itafanyika humu humu...ukumbi utakuwa jamii photos πππ
Yani ilipofika post namba sita watu waka stack kama MB zimeisha vile, basi akajitokeza muhusika na sasa tumeishaanza michango,we unachanga ngapi?Mkuu hebu fafanua kidogo, ulikua unamaanisha mtu wa saba ku comment au atakayepost comment ya saba?
Au katika kuhesabu comments na post yenyewe inahesabika kama comment ya kwanza? πππ
Mkuu bado mapema sana, ngoja kwanza tukafikishe posa kwanza.Yani ilipofika post namba sita watu waka stack kama MB zimeisha vile, basi akajitokeza muhusika na sasa tumeishaanza michango,we unachanga ngapi?
Ukihesabu na post yenyewe kama ni comment ya kwanza. Ya saba inakuwa yako πππHivi comment ya 7 ni mimi ama Sakayo ?π π
Tunachaplisha mambo ili yaende fasterMkuu bado mapema sana, ngoja kwanza tukafikishe posa kwanza.
Ukichanga sasa hivi unaweza ukakuta story inahamia kwenye uzi wa "... kimasihara"
Ukihesabu na post yenyewe kama ni comment ya kwanza. Ya saba inakuwa yako πππ
Bibi harusi wetu ni weweπ€ͺππ
Naomba niwe mweka hazina.Tunachaplisha mambo ili yaende faster