Wataalam wa IT msaada wenu. Niokoeni jamani

Wataalam wa IT msaada wenu. Niokoeni jamani

LEGE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
5,122
Reaction score
9,222
Wakuu naomba msaada wenu mim ni fundi ktk fan ya auto electrical(umeme wa magari) pamoja na electronics na elim ya ufund hiyo niliipata veta chang'ombe dar es salaam.

Nataka niongeze ujuzi zaidi kwa kusoma course ya computer ili niwe na2mia computer ktk ufundi wangu kwani magar na vifaa vya electronics ving sasa hiv matengenezo yake (repair) yanafanywa kwa ku2mia computer.

Na mim cjasoma kbs mambo ya computer zaidi ya kujifunzia mtaan.Na sina ufaham wowote juu ya koz za computer.
Nilikuwa naomba kujuzwa/fahamishwa ni koz ipi nikisoma inaweza kunisaidia??

Naomben sana msaada wenu wakuu kwa hili.
 
inabidi ueleze unachokitaka'computer kuna hardware na software
 
Kijana hapo we unahitaji software course so ukajifunze kwanza jinsi ya kutumia computer kama end user then ukajifunze software general halafu hiyo inayokuhusu ndio ukomae nayo
 
Hapo mkuu ni application softwares 2 ndo unazohitaji.czijui ni aina gani za application softwares ambazo zinahitajika kwenye huo ujuzi wako ila nenda kwenye centres zinazofundisha application softwares ukaulizie hizo application softwares au kama unaweza google aina gani za application softwares unazohitaji,then ukishajua tafuta wapi hapa tz zinafundishwa uende ukasome.
 
jifunze kutumia kompyuta vizuri na baadhi ya software maana ukijua chache zitakupa uwezo wa kila aina ya software
 
inabidi ueleze unachokitaka'computer kuna hardware na software

mkuu mimi ninacho hitaji nikupata elim/ujuzi utakao niwezesha kufanya ufundi kwa ku2mia computer.Mf magari meng sasa hivi ni ya kielectronics so matatizo meng ya utengenezaji wake yanahitaji utumie computer.
Kwan kunamatatizo sasa hv kweny gari linaweza likagoma kuwaka kbs lkn ukichomeka computer kuna vi2 unafanya na gari inawaka kama kawaida bila kufungua au kubadilisha chochote.
Nazan hapo mkuu umenielewa ninacho kihitaji.
 
mkuu mimi ninacho hitaji nikupata elim/ujuzi utakao niwezesha kufanya ufundi kwa ku2mia computer.Mf magari meng sasa hivi ni ya kielectronics so matatizo meng ya utengenezaji wake yanahitaji utumie computer.
Kwan kunamatatizo sasa hv kweny gari linaweza likagoma kuwaka kbs lkn ukichomeka computer kuna vi2 unafanya na gari inawaka kama kawaida bila kufungua au kubadilisha chochote.
Nazan hapo mkuu umenielewa ninacho kihitaji.
m

i nikushauri uanze moja! kuijua computer hapo utasoma basic kama ms world etcl... yaani ifike kipindi ujue ctrl+alt+end kazi yake nini... ukitoka stage hiyo then utajua nini cha kufanya mbeleni


 
inabidi ueleze unachokitaka'computer kuna hardware na software

asanteni sana wakuu mmenifungua macho sasa nimepata pakuanzia nawashukuru wote ngoja kuanzia j3 niifanyie kazi nitawajuza ntakapo fikia.Naamin january ntawajuza nimeanza kusoma kipi.
Asanten sana idum JF lidum jukwaa la tech
 
Lege,
uhaitaji kusoma kwa hatua:
1. Jifunze computer OS. Hapa utajifunza externals za computer boss (OS) jinsi anavyokuwezesha kuongea na hardware na applications. Service anazotoa kama clipboard(cut, copy, paste et al), hardware abstraction (USB, Monitors, serial ports et al). Baada ya kujua basic OS services then unaweza fuata next
2. Jifunze Office package na internet. Hizi zitakupa idea jinsi OS husika inavyoongea na application na kujifunza basic commands zinavyofanywa ktk app.
3. Jifunze program husika ya automotive na jinsi inavyofanya kazi na kuongea na vifaa vya gari yako
4. Urudi na kusema ahsante (utani umekusudiwa hapa!)
 
Lege,
uhaitaji kusoma kwa hatua:
1. Jifunze computer OS. Hapa utajifunza externals za computer boss (OS) jinsi anavyokuwezesha kuongea na hardware na applications. Service anazotoa kama clipboard(cut, copy, paste et al), hardware abstraction (USB, Monitors, serial ports et al). Baada ya kujua basic OS services then unaweza fuata next
2. Jifunze Office package na internet. Hizi zitakupa idea jinsi OS husika inavyoongea na application na kujifunza basic commands zinavyofanywa ktk app.
3. Jifunze program husika ya automotive na jinsi inavyofanya kazi na kuongea na vifaa vya gari yako
4. Urudi na kusema ahsante (utani umekusudiwa hapa!)

ubarikiwe mkuu

vip ni mda gani naweza kujifunza yote hayo na gharama zake zimekaaje??

Asante sana
 
Unatakiwa usome Automove Electronics,apa utajifuza how to repair,repragram and diagnose ECU electronic control units za magari,jinsi ya kudeal na ABS, Automatic break systems,jinsi ya kuprograms air bags.sensors,na kadharika..,nnazo material zake nilisomaga hii course,zamani,pamoja na industrial robotics systems ,nipo kiasi bize unaweza kuni PM .niangalie jinsi ya kukusaidia mkuu
 
Unatakiwa usome Automove Electronics,apa utajifuza how to repair,repragram and diagnose ECU electronic control units za magari,jinsi ya kudeal na ABS, Automatic break systems,jinsi ya kuprograms air bags.sensors,na kadharika..,nnazo material zake nilisomaga hii course,zamani,pamoja na industrial robotics systems ,nipo kiasi bize unaweza kuni PM .niangalie jinsi ya kukusaidia mkuu

mkuu nimeku PM.
 

Attachments

  • auto-systems03-1.png
    auto-systems03-1.png
    26.3 KB · Views: 150
Kutokana na maelezo yako uliyoyatoa mimi nakushauri ukasome cozi moja ambayo inaitwa Industrial Atomation ambayo inahusika mambo ya automatic machnies, robots nk. Nadhani kozi hiyo itakufaa sana pia itakusaidia kuwa mbunifu. Ukisomea kozi ya computer ya kawaida haitokusaidia kwa sababu zifuatazo:-
- Kwanza kabisa kuhusu ufundi wa magari kwa kutumia computer, hutotumia computer peke yake. utahitaji kuwa na mitambo mingine ambayo mitambo hiyo hufanya kazi kwa kutumia computer na ili uweze kuoperate mitambo hiyo lazima uwe na ujuzi wa kuitumia. kama ukiwa umesoma kozi ya computer ya kawaida haitokusaidia na badala yake itabidi utafute mtaalamu zaidi ili akufundishe jinsi ya kutumia mitambo hiyo.

-Pili uksiomea kozi hiyo ya industrial automation itakusaidia pia kuzitengeneza mashine hizo endapo zitaharibika kuliko kwenda kusomea kozi za computer ya kawaida ambapo itakubidi kutafuta fundi wa kutengeneza mashine hizo endapo zitaharibika

-Tatu kusomea kozi hii pia kutakusaidia wewe kuweza kubuni mashine zako mbali mbali ambazo zitakusaidia katika kazi zako kwa sababu ktk kozi hii huwa wanafundishwa jinsi ya kutengeneza mashine mbali mbali ikiwemo robots

Vyuo ambavyo vinatoa kozi hiyo ambavyo navifahamu mimi ni kimoja tu na kipo hapa Arusha na kinaendeshwa na wafaransa. Kama ungependa kusomea kozi hii wasiliana nami ili nikuelekeze jinsi ya kjiunga na chuo hicho
 
Kama tayari wewe ni fundi wa magari unachohitaji sasa ni kujua jinsi ya kutumia computer basi!! kwani software ya kufanya diagnosis ya gari kwa computer zipo nyingi ila ukishajua kutumia computer kila kitu kitakuwa poa
 
Back
Top Bottom