Wasukuma wenzangu hii wanaifahamu

Miam Miam, ndo kipindi chake hiki tunachemba matobolwa na michembe a. k.a maparage
 
Mie mzima kabisa,sijui wewe

Alhamdulillah, hiyo bidhaa unaifaham weye?

Inatokana na viazi vitamu, vinapikwa, vinakatwakatwa kwa ustadi kisha vinaanikwa juani. Vipande vikikauka vinahifadhiwa tayari kwa matumizi siku za baadae. Kwa ufupi ni namna ya kuhifadhi viasi vitamu.
 
Alhamdulillah, hiyo bidhaa unaifaham weye?

Inatokana na viazi vitamu, vinapikwa, vinakatwakatwa kwa ustadi kisha vinaanikwa juani. Vipande vikikauka vinahifadhiwa tayari kwa matumizi siku za baadae. Kwa ufupi ni namna ya kuhifadhi viasi vitamu.
Ndo nimeiona hapa,itabidi niende usukumani nikaonje hii kitu
 
Onene nalehaya kobiza mnamhala wo kweta mamihayo chiza gete, kongono kokaya yise tule bazunya gete.

No o guku wise nlangi wotulanga chiza gete, utizo eta mamihayo nyachilochilo henaha.

Kongono pye tole bazunya. Hagayaa!

Seba akojiwe.
Tafasiri ya google

..mimi nataka kuwa mzee wa kufanya mambo mazuri, kwa sababu nyumbani kwetu sisi ni wachaMungu kabisa, na tena babu yangu alikuwa mchungaji (pastor), hivyo usilete mambo ya kipuuzipuuzi hapa, kwa sababu sisi ni washikadini. Eboo!

Seba akojiwe linabaki kama lilivyo au unaweza kujibu pye amakanza
 
Kwa muktadha huo niweke uzi kuweka mambo hadharani? Isijeukaingia mitini baadae JF itaenda likizo....

Ndio ujiandae tukifika huko hiyo matobolwa ndio inapikwa kwa kufungua kinywa.
Hahaa!ukiweka uzi nachukua likizo ya lazima kama ile ya jf waliopewa na tcra
 
Back
Top Bottom