sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Hata wasukuma walioelimika waliachana na utamaduni huu lakini kuna baadhi ya maeneo bado unaendelea kwa kisingizio cha kudumisha mila,
Kuna baadhi ya maeneo ya wasukuma bado elimu ya kuachana na haya mambo haijafika kikamilifu, unawakuta wachungaji wa kisukuma wamevaa mavazi yao ya asili sketi za mashuka na gum boots za shambani, wamemuona binti wanamzingira ili aolewe kimabavu.
Kama binti amekuvutia ongea nae, haya mambo ya kutumia mabavu kwa karne hii ni mambo ya ajabu sana
Kuna baadhi ya maeneo ya wasukuma bado elimu ya kuachana na haya mambo haijafika kikamilifu, unawakuta wachungaji wa kisukuma wamevaa mavazi yao ya asili sketi za mashuka na gum boots za shambani, wamemuona binti wanamzingira ili aolewe kimabavu.
Kama binti amekuvutia ongea nae, haya mambo ya kutumia mabavu kwa karne hii ni mambo ya ajabu sana