Wasukuma wenzangu hii wanaifahamu

Wasukuma wenzangu hii wanaifahamu

Rafiki yake na kiasali upoo!!??
Nipoooooo Kiasali[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Tumedundika sana pale oxygen na vijana classic band (wazee wa wosia wa biiiiiibi! wosia wa bibi)!
 
Nikisikia hili jina nawaza kitu kingine kabiisaa... Sijui kwa nini...
Lazima ufeel vingine,ni matamu sana yakipikwa na maziwa na sukari...ila wataalam wanashauri "ulaji wa matoobhola mara kwa mara si mzuri kwani unaweza kupelekea ugonjwa wa kansa"
 
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!

Huu uzi umejaa wasukuma ngoja nirud uzaramoni kwetu
 
Gashi wale otamanile mamihayo genage?

Pye banamhala, pye basumba batale, nolo bafumo bamanile mamihayo genago.

Hale masangu?
The Applicant must be fluent in English, Kiswahili and Kisukuma...Wazee wa fursa
 
Nipoooooo Kiasali[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Tumedundika sana pale oxygen na vijana classic band (wazee wa wosia wa biiiiiibi! wosia wa bibi)!

Hahahahahahhhhhh umenikumbusha..... Wosia wa bibi....
 
Lazima ufeel vingine,ni matamu sana yakipikwa na maziwa na sukari...ila wataalam wanashauri "ulaji wa matoobhola mara kwa mara si mzuri kwani unaweza kupelekea ugonjwa wa kansa"

Aiseeh hii sasa hatarii......
 
Hahahahahahhhhhh umenikumbusha..... Wosia wa bibi....
Bibi alisema ukienda kwenye ndoa laaala hivi usilaleee ...........[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Unaanzaje kulala na nguo [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


Baridi kali sana huku. Pajama zinanihusu.

Hayo ya kulala wichi yalinishinda Kasie mie.
 
Baridi kali sana huku. Pajama zinanihusu.

Hayo ya kulala wichi yalinishinda Kasie mie.
Unapokuwa mwenyewe sawa, vp ukiwa na wa ubani wako napo utalala na nguo

Hahahaaaaa
 
Back
Top Bottom