Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
Ngalu au Ngika?
Nde Ncheyeki Ngalu
Ngalu au Ngika?
Ukipata likizo uje shinyanga nikupikie michembe na matobolwa.Kumbe na wewe ni ngosha??
Usijali mama, sehem ya kufikia nimeshakuandalia kbs.Ndo nimeiona hapa,itabidi niende usukumani nikaonje hii kitu
Ngoja naja na id mpya sasa hivi kaa mkao wa kushangaa[emoji23][emoji23]Basi niwekee wewe uzi kwa ID mpya hahahahaaa
Asante besti ake[emoji8][emoji8]Usijali mama, sehem ya kufikia nimeshakuandalia kbs.
Tatizo lako huwa huniamini.Asante besti ake[emoji8][emoji8]
Itabidi nije asap kabla hujaghairi[emoji16][emoji16]
Asante besti ake[emoji8][emoji8]
Itabidi nije asap kabla hujaghairi[emoji16][emoji16]
Ngoja naja na id mpya sasa hivi kaa mkao wa kushangaa[emoji23][emoji23]
Hahahha hapana, mie huyu ni rafiki yangu.Mie nimeshakaa pembeni. Nilijua tu haya yatatokea.
Mmmmh, basi hukuwa na niaAhirisha tu, nimeghairi.
Hahahha hapana, mie huyu ni rafiki yangu.
Ww endelea tu na mipango yako.
Tulye le wenga lya nguzu
Hahahha maraga e shaka kaka, onene nale ng'wanike.Ng'wanawuya, mbiti etini kungwi geni buraza.
Mmmmh, basi hukuwa na nia
Hapana kaka, ww endelea tu.Ati? Sikua na nia vipi mkubwa nimeanza kuwinda takriban miaka mitano, ndege ameingia kwenye mtego naona tena dalili za kuachiwa manyoya.
Hahahha maraga e shaka kaka, onene nale ng'wanike.
Komejaga doho e mipango ya lewenga lya nguzu.
Tatizo huaminiki wewe[emoji16][emoji16]Tatizo lako huwa huniamini.
Vipi, kwema lkn? Hbr za siku nyingi
Sam nini lakini?nimejiandaa ujue?Mie nimeshakaa pembeni. Nilijua tu haya yatatokea.
Ngoja naja na id mpya sasa hivi kaa mkao wa kushangaa[emoji23][emoji23]
Yaani ndo nishakuwa mtalaka kabla ya ndoa?[emoji24][emoji24][emoji24]Ahirisha tu, nimeghairi.
Sam nini lakini?nimejiandaa ujue?